Skate Boy
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 312
- 204
MhhhUnga una utamu wake
MhhhUnga una utamu wake
Hata mama muuza huwa anaonja gongo!!Ni punda tu au na yeye anatumia?
Huku chuga ni safe mkuu, hizo ngada huku sio kivile, huku nyasi sanaaaHata Langa ndivyo alivyoanza madawa. Kwa hiyo hata bangi sio safe unless una shamba lako.
Hahahahahhahahah....eti "Mahandsome wanaisha" hahaJamani jamani...Nando wangu...i was watching BBA kwa ajili yake tu dah....and i thought anatumia weed tu...kumbe na sembe nayo....tumuombeeni jamani...Mungu amsaidie....
Mahandsome wanaisha sasa kitaa....
kwenye page ya mange kule ig kawataja kabisa jamaa kama watatu akiwepo mmiliki wa e-fm/tv-e lakini ukute hakuna hata atakayeshughulika nao, so sad
Haya madawa yamekuwa hatari kwa vijana ukimuona rechal yule kizunguzungu utalia machozi yuko mwanza saahiv amechoka anakula kwa mamantile na kiroba mkononi ,, kawa teja amechokaa kachakaa
No inategemea na trip ya wapi na capacity ya kubeba mzigo..kuna punda pale kinondoni B anakula 10m per trip...
ruge hayumo kweli maana mtaani wanasema ivyo
Omba Mungu hawa wash*nzi wasije huko kuwachanganyia. Hawa watu hawaogopi Mungu.Huku chuga ni safe mkuu, hizo ngada huku sio kivile, huku nyasi sanaaa
Ili tatizo la unga lipo mijini tuu, kule vijijini unga Aupatikaniki, vijana wa mjini wanaangamia sana.JAMII YA KITANZANIA NA SIRIKALI BADO HAIKO SIRIAS NA HII KITU KWA SABABU WAUZA UNGA WOTE WAKUBWA NA WADOGO WANAJULIKANA NA WANAONGOZA KUTOA MISAADA MISKITINI, MAKANISANI NA KWENYE CHAMA CHETU PENDWA. KAMA ADHABU YAKE HAIJAWA KIFO NA JAMII IKABADILIKA WAZUNGU WA UNGA SIO WATU WAZURI HATA KAMA NI WATOTO WETU, NDUGU , JAMAA AMA RAFIKI ZETU.
MUUZA UNGA HANA TOFAUTI NA MCHUNA NGOZI YA BINADAMU AMA MKATA VIUNGO ALBINO NA MUUAJI MWENGINE NA ADHABU SAHIHI NI KIFO.
KINYUME CHAKE TUKIENDELEA KILILEA HILI TATIZO MPAKA MWAKA 2050 ROBO YA VIJANA WETU WATAKUWA WAATHIRIKA.
MADAWA YA KULEVYA NI TATIZO KUBWA KUZIDI UKIMWI BONGO
Bora uko Arachuga mnakula Nyasi (Sigara ya TRA) uku kwetu Dar es salaam ni mwendo wa Sindano na unga mwanzo mwisho kama nyokaHuku chuga ni safe mkuu, hizo ngada huku sio kivile, huku nyasi sanaaa
Siyo yupo location kweli
Siyo yupo location kweli
Duh!! Anatia huruma
Vijijini sasa wametopea kwenye viroba usipime!Ili tatizo la unga lipo mijini tuu, kule vijijini unga Aupatikaniki, vijana wa mjini wanaangamia sana.
Anasubiria ubeti wa necha shime shimeeeee ainameeeeee aanze kufyatuka mapangahuyo ndio alikuwa location. Bado tunasubiri video yake.
Hawa watu huathirika kisaikolojia na dawa nyingi za kulevya husababisha brain function depression. Hakuna sumu ila in mfumo WA utendaji kazi wa ubongo huwa unaathirika na kumfanya MTU kuwa 'dependence'.. Hawezi kufanya chochote bila 'drug' tunasema kawa 'addicted'Hizi ni propaganda nini wakuu?
Jamaa kabadilika kichizi!!
Sijui ni kweli naskia ipo mashine yenyewe ipo kama beseni la kuogeshea watoto unatumbukiza huko miguu inakuwa inanyonya sumu mwilini,