Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,652
Nyie jifanyeni watabiri tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie jifanyeni watabiri tu!
Hatujifanyi watabiri. Its just a myth.
haelewi kidhungu!
Baada ya marehemu kanumba kufariki inasemekana kuwa alikuwa Freemason na kuigiza kwake movie hii kulitoa baadhi ya siri za Freemason ambazo hazikupaswa kujulikana na ndio maana hao freemason wakamuua kwa sababu alitoa siri zao ambazo hazikupaswa kujulikana kwa jamii.
kwa hiyo unamaanisha hao watu wana nguvu kuliko Mungu?? Siamini...kumbuka If God says NO....hata wangemmiminia risasi za moyo asingekufa!! U better say something else... not this man!!Yep. nadhani wewe umenielewa mkuu. Once you are in there is no getting out. Hata kama ukimrudia Mungu wako lazima watakuua tu.
iiish...kumbe hata filamu yenyewe hujawahi iona....!!?Nadhani itakuwa imeigizwa kwa lugha ya Kiingereza kwa sababu katika hiyo filamu ameshirikishwa msanii wa NIgeria Ramson Nouah.
I strongly disagree! Kwani Kanumba ndio wa kwanza kutoa hizo siri zao? Na kwanini afe peke yake, what about the rest...aloshirikiana nao kuandaa hiyo filamu??
Correction: ni power of loveInavyosemekana kabla kanumba hajafariki kuna movie alikua anatengeneza inaitwa ndoa yangu(bado haijatoka) na sio hiyo devil kingdom,kwenye hiyo movie ameact kua alisukumwa,akaanguka na kufa. So imekua kama alijitabiria kifo chake mwenyewe..
Source:msanii mwenzie aliyeact nae kwenye hiyo film
haelewi kidhungu!
I strongly disagree! Kwani Kanumba ndio wa kwanza kutoa hizo siri zao? Na kwanini afe peke yake, what about the rest...aloshirikiana nao kuandaa hiyo filamu??
Correction: ni power of love
Hiyo Senema imeigizwa kwa lugha gani?
hilo SWALI najiuliza sana MDAU,vp wale wengne?alama za vidole walionesha wote,what z abt ramsey?ye ndo mkuu wao kama alivoakt
hahaha "senema"! Nmefurah mtambuzi
Amekosea tu jamani. ulimi hauna mfupa.
...."eti hata Ramsey Nouh alipata ajali mbaya Nigeria...ila roho yake ikawa ngumu kama ya pakka..."
yako mtaani haya maneno.
no bana, cjamkosoa,nimependa kwani kuna mtu wangu wakaribu sana,anapenda kusema ,naangalia senema..
Young nawewe!? Lol