Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
ww umeelewa?...
Kwanini nisielewe?
Sina hangover mimi....
Kunywa maji dogo
ww umeelewa?...
*wtf*....*wtf*....umetuletea cover la movie...sasa ndo lililomuua?elezea connection...huna data ,u better keep it shut...
Hiyo Senema imeigizwa kwa lugha gani?
....fafanua YM... How?
YM, uhuru wa kuongea sio!? Mbona tunautumia vbaya?
mbona sielewi!
Hii si ilishatoka?
Imesababisha kifo kivipi? Wakati wana-act ndio alidondoka?
kumbe movie zinauwa watu sikuhizi!!
kumbe movie zinauwa watu sikuhizi!!
Kwani Title yangu inasema Kanumba Ndio amesema hivyo au nimesema kuwa inasemekana kuwa imesababisha kifo chake? Na tokea lini mtu aliyekufa akaongea?
Inamaanisha hiyo movie sio tuu K ali act bali ilikuwa kweli!. Kwenye movie walisema "once in", you are in for it, there is no geting out!. Kwenye movie walionyesha K akipiga goti kutubu na kumrudia Mungu wake, ila in reality hakuna kutubu!, ukishaingia humo ndio umeingia na hakuna kutoka, K alipotaka kutoka ndipo kikampata kilichompata na kumtoa jumla!.
"inasemekana'' hivi hapo unamaanisha nani aliyosema?? Hiyo muvi ndo imesema? Au ni wewe? Je ni kitu gani kimesema. sielewi elewi
hata mm nashangaa mbona nice mohamed aliigiza kuwa amekufa lakini hajafa katika filamu ya clinic love
Inavyosemekana kabla kanumba hajafariki kuna movie alikua anatengeneza inaitwa ndoa yangu(bado haijatoka) na sio hiyo devil kingdom,kwenye hiyo movie ameact kua alisukumwa,akaanguka na kufa. So imekua kama alijitabiria kifo chake mwenyewe..
Source:msanii mwenzie aliyeact nae kwenye hiyo film
Toa maelezo, imesababishaje kifo?