mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Kwaio cku izii ukiwa chadema ndio inakua unajitambua etyy
Kwaio
cku
etyy
izii
Chalii angu uliandika ukiwa unakata nyengo sio?
Kwaio cku izii ukiwa chadema ndio inakua unajitambua etyy
Kwani ni lazima raia wampigie kura Zuchu?Muache unafki kama ndio harakati zenu mshambulie wasanii wote hadi akina Hbaba na pia msisahau kuacha kushabikia Simba sc maana hata bosi wenu alikuwa anamuunga mkono mgombea urais wa chama fulani. Nakumbusha kila mtu mumgomee na sio kuchagua sehemu za kufanyia harakati. MUACHE UNAFKI
Kwani ni lazima raia wampigie kura Zuchu
Unapooneshwa mwezi nawe usiangalie kidole.Kwani ni lazima raia wampigie kura Zuchu?
Hakik bora uangalie Jua.Unapooneshwa mwezi nawe usiangalie kidole.
Hakik bora uangalie Jua.View attachment 1598256
Muache unafki kama ndio harakati zenu mshambulie wasanii wote hadi akina Hbaba na pia msisahau kuacha kushabikia Simba sc maana hata bosi wenu alikuwa anamuunga mkono mgombea urais wa chama fulani. Nakumbusha kila mtu mumgomee na sio kuchagua sehemu za kufanyia harakati. MUACHE UNAFKIHakik bora uangalie Jua.View attachment 1598256
Hata mimi pia siwezi mpigia kura msanii yoyote anayeshabikia wezi(ccm)Hata usipompigia kura hapotezi kitu. Wewe kaa na hako kakura kako.
Muache unafki kama ndio harakati zenu mshambulie wasanii wote hadi akina Hbaba na pia msisahau kuacha kushabikia Simba sc maana hata bosi wenu alikuwa anamuunga mkono mgombea urais wa chama fulani. Nakumbusha kila mtu mumgomee na sio kuchagua sehemu za kufanyia harakati. MUACHE UNAFKIIla unafiki tumeurithi kwa Polepole ujue.View attachment 1598260
Hakika tutaacha baada ya tuzo hizo.Muache unafki kama ndio harakati zenu mshambulie wasanii wote hadi akina Hbaba na pia msisahau kuacha kushabikia Simba sc maana hata bosi wenu alikuwa anamuunga mkono mgombea urais wa chama fulani. Nakumbusha kila mtu mumgomee na sio kuchagua sehemu za kufanyia harakati. MUACHE UNAFKI
Shauri yako, wengine watampigia tu.Hata mimi pia siwezi mpigia kura msanii yoyote anayeshabikia wezi(ccm)
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nikiwa namshabikia MTU unajuaje?pancho boy Kwani mzee lini umewahi kumshabikia Zuchu mpaka uwe na impact kwenye mziki wake?
Umemsahau msanii mwenzao Roma MkatolikiWewe mtoto,wewe mtoto,wewe mtoto....nimekuita mara tatu itika.Kumbuka kupotea kwa Ben Saanane,Azory Gwanda na wengineo.Kumbuka kupigwa risasi kwa Tundu Lissu,kumbuka manyanyaso kwa watumishi wa umma na Wazee wastaafu,kumbuka manyanyaso kwa wakulima na wafanyabiashara.Nafahamu wewe ni mnufaika na uwepo wa ccm so,haupo kwenye kundi lolote kati ya hayo niliyoyataja lkn,Zuchu ameungana na watesi na wauaji wa jamii yake hastahili kutendewa wema hata kidogo!
Hii iwe fundisho kwa wasanii wote,mmejinasibisha mko upande gani badala ya kuwa neutral basi waombeni kura wanachama wenzenu.
View attachment 1597596View attachment 1597599View attachment 1597601View attachment 1597598View attachment 1597598
Alaf mzee wale sio kama wanapenda kufanya zile kampen...wale wameshikwa pabaya...Wanatumia TCRA na Basata kuwanyosha hao wasanii..
Muone jide kilichomkuta tayar anaambiwa amechochea uvutaji bangi kisa kagoma kwenda kweny kampen.
Hao wasafi walifungiwa kwa kichaka cha maudhui lakin ukwel jamaa walikua wnapost habar za lisu...sasa tangu wmerud hewan umeona hata post ya upinzan tena? Clouds nao vile vile...sas mond hapo akipiga hesabu unafkr atagoma?
Shida hapa sio wasanii shida ni Watanzania wote...leo tukisema tuingie barabarn kudai haki zetu mzee utatoka? Okey tuseme we jembe utatoka..je jiran yako atatoka?
Tusiumize mtu individual kweny vita ya taifa zima...zuchu anaangalia ugal wake kama mtu mwingine yule ambaye atagoma kudai haki za msingi....
Basi tukitoka kwa wasanii tuamie wapi kugoma kutibiwa kweny hospital walizojenga ccm au? Kama hii ndo strategy ya kuitoa ccm basi ccm wana miaka 1000 tena mbele
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
pancho boy mbona wewe unatabia ya unafiki unafiki Sana wewe si ndio unaompondaga humu jamvini au teyali umeshajitoa akili?Nikiwa namshabikia MTU unajuaje?
Wewe umeumia sana najua maana akikosa tuzo unalala njaa
Hakika tutaacha baada ya tuzo hizo.View attachment 1598261
Wasanii ni sehemu ya ukombozi wa jamii.
Kama msanii unatetea tabaka tawala huo ni udwanzi kama wasanii wa Ccm.
Zuchu tunakupenda lakini sio kwa kuichezea ccm. Hapo ni sawa na kuhalalisha unyanyasaji, uuaji na utesaji kwa wapenzi wa mziki wako..
Kama vp jitenge na siasa. .
Muache unafki kama ndio harakati zenu mshambulie wasanii wote hadi akina Hbaba na pia msisahau kuacha kushabikia Simba sc maana hata bosi wenu alikuwa anamuunga mkono mgombea urais wa chama fulani. Nakumbusha kila mtu mumgomee na sio kuchagua sehemu za kufanyia harakati. MUACHE UNAFKIHakika tutaacha baada ya tuzo hizo.View attachment 1598261