Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,204
- 42,064
Hii iwe fundisho kwa wasanii wote,mmejinasibisha mko upande gani badala ya kuwa neutral basi waombeni kura wanachama wenzenu.
View attachment 1597596View attachment 1597599View attachment 1597601View attachment 1597598View attachment 1597598
Wewe kweli kichwa maji! Hivi wewe ulishawai kuhudhuria hata show moja ya msanii? Hivi mbona Ney wa mitego ana washabikia ? Yeye ni mwema sana? Hamna msanii atahanguka kwakuwa amewashabikia CCM! Nyie chadema ni wajinga wajinga na kila siku huwa mnashindwa kwenye kila jambo! Hamuwezi kumuangusha msanii yeyote yule ndio maana wakipiga show popote wanatokea!
Chadema huwa mnasema uhuru mnadhani uhuru ni kuishabikia chadema tuu hahahah!