Hii miji ipo hivyo kweli au ni picha za kompyuta haswa mpakatoJamani eh tukubali tukatae watu waupe wametupiga gepu kubwa sana na tuna tuna safari ndefu kuwapata.
Ebu angalia Dubai alafu ujiulize Dar au Kampala zikija kufikia hatua hii itakuwa ni mwaka gani.
View attachment 2494991View attachment 2494992View attachment 2494993View attachment 2494994View attachment 2494995View attachment 2494997View attachment 2494998View attachment 2494999View attachment 2495000View attachment 2495001View attachment 2495002View attachment 2495004View attachment 2495005View attachment 2495006
Mungu yupi????Wa kwenye vitabu vya mayahudi au maarabu au mahindu au machina au mabudha?????Mungu yupi sasa?????Nitajie huyo Mungu afu tubishane kama unapenda kubishana???Mungu alimpunja akili mtu mweusi.
Anayebisha aje tubishane kwa hoja
Jamani eh tukubali tukatae watu waupe wametupiga gepu kubwa sana na tuna tuna safari ndefu kuwapata.
Ebu angalia Dubai alafu ujiulize Dar au Kampala zikija kufikia hatua hii itakuwa ni mwaka gani.
View attachment 2494991View attachment 2494992View attachment 2494993View attachment 2494994View attachment 2494995View attachment 2494997View attachment 2494998View attachment 2494999View attachment 2495000View attachment 2495001View attachment 2495002View attachment 2495004View attachment 2495005View attachment 2495006
Nimeshangaa unaitaja Dar na Kampala unalinganisha na DubaiJamani eh tukubali tukatae watu waupe wametupiga gepu kubwa sana na tuna tuna safari ndefu kuwapata.
Ebu angalia Dubai alafu ujiulize Dar au Kampala zikija kufikia hatua hii itakuwa ni mwaka gani.
View attachment 2494991View attachment 2494992View attachment 2494993View attachment 2494994View attachment 2494995View attachment 2494997View attachment 2494998View attachment 2494999View attachment 2495000View attachment 2495001View attachment 2495002View attachment 2495004View attachment 2495005View attachment 2495006
Huyo hawapendi wamagharibi yeye anawapenda wamashariki si unaona hata jina lake kwa kirefu lina maanisha nini🤣🤣🤣🤣🤣!!!!!!!Waafrika bhana umagharibi na umashariki unawafanya muwe maz...........u!!!!!Dubai tu unashanga hivyo? Ukifika los Angeles, New York au shanghai si utatambaa kabisa
Kuna dhambi gani kushangaa mbona unawapangia watu maisha ?Dubai tu unashanga hivyo? Ukifika los Angeles, New York au shanghai si utatambaa kabisa
Los angeles na new york hazipo kwa the most modern cities in the world kwenye top 10. Jiji lililopo ni san francisco na ndilo linaongoza kwa marekani kwa kuwa modern. Majiji mengi yaliyomo ni nchi za Asia maana yamejengwa miaka ya hivi karibuni hivyo yana ylubunifu wa kisasa na technology za kisasa zaidiDubai tu unashanga hivyo? Ukifika los Angeles, New York au shanghai si utatambaa kabisa