Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Nilijionea Jana tukio LA Uganda Polisi walivyo tawanywa wakati wanamshambulia mwendesha Pikipiki bila sababu. Kumbe nguvu ya umma dhidi ya uonevu yaweza kufuta Tania hiyo.
Hivi ndivyo inavyotakiwa badala ya kulalamika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ndivyo inavyotakiwa badala ya kulalamika
Sent using Jamii Forums mobile app