Hii ndio Dar ya mwaka 1887

SHOOyaKIBABE

JF-Expert Member
Feb 10, 2014
2,181
1,707
bongo enzi hizo.jpg
 
Yani ningechukua masaki na mikocheni nzima kudaadeki. Ukoo wa Nyamgluu ungekua na hela balaa!
 
Yani ningechukua masaki na mikocheni nzima kudaadeki. Ukoo wa Nyamgluu ungekua na hela balaa!

Nyamgluu, unafkiri ungeweza kupasogelea maeneo hayo? kulikuwa ni pori la simba mkuu..yaani hapo kinondoni tu ndo ilikuwa ni center ya tembo balaa..
 
Hadi sasa population yetu bado ndogo sana ukicompare na eneo la nchi nzima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom