Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

kiwango cha elimu ya mnyika ni kipi???? wangapi tunawajua walikuja mlimani na one za 3 wakaishia ku disco

haimaanishi ukienda chuo na one ya 3 basi wewe ndio umeshapata degree!! inategemea unafanya nini hapo chuo ebo! unayemjua wewe aliyeenda na one ya 3 ni nani? ili tupekue mafaili tuone kama alikuja kusoma ama alikuja kujivunia one yake ya 3 asijue kwamba mwisho wa siku anatakiwa kufaulu na pepa za chuo
 
Degree ndani ya utawala wa JK?


  1. Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India (atakuwa alifeli EGM.....No linkage here....hii degre ya HKF,HGL,KLF etc.....otherwise angepiga Bcom, BBA,)
  2. Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe (Mchekea wa ma DC, DEDs)
 
He he he he, hebu uliza wewe

Siku hizi dizatesheni zinafanya bila kujali ulikuwa unasoma nini

Mie nasoma jografi nafanya disatesheni ya history. makubwa

TandaleOne ndugu Nnauye Jr pale mzumbe amesoma mara moja au mbili? Ninavyofahamu mimi na niko shule unapoma Master Dessertation yako inatakiwa ufanye kwenye "elective modules" ulizochagua mfano kama alichagua say "Human Resources" angefanya kwenye hiyo eneo au kama ni "Marketing" angefanya kwenye hilo eneo. Labda kama elective yake ilikuwa ni "Political science" kitu ambacho sina uhakika kama inalandana na "Business Administration"
 
Hi hakuona mwenzie mnyika alivyo orodhesha alama alizo pata,haya jamani...haya wewe mwenye kimbelel tueleze na tuoneshe alicho kipata....
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
Mwanzo umesema "Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC" Sasa unasema alifanyia tu mtihani Butimba TTC kama center, swali je, hapo Butimba TTC kulikuwa na A Level ya EGM? kama kilikuwa kituo tu (center ya mtihani)je Nape alisoma shule gani ya A Level hapo Mwanza, kwa vile umesema hakupenda kuwa Boarding sasa tuambie kama alisoma Day Butimba TTC au shule ipi.

Ushauri tu, kama hujui ukweli wa wapi Nape alisoma usijaribu kuutetea uongo utamharibia zaidi ya kumtengenezea.
 
TandaleOne

hujatupa ufaulu wake wa form 4 na 6 alikuwa na division ngapi? Kama mwenzake Mnyika alivyosema?
 
Last edited by a moderator:
Matokeo ya Nsumba umeyaweka na ya Butimba TCC yako wapi sasa maana tumekosa Secondary inayoitwa ivo.
Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC (Nimesoma Mwanza kuanzia Primary,secondary,advanced level,BA na MA na kazi nipo Mza nakuhakikishia hakuna shule inayoitwa BUTIMBA TCC yenye Advanced Level kuna Butimba Secondary yenye O-Level pekee kaka nendeni mka edit CV yenu)

wanadhani sisi ni vilaza kama wao na hiyo cv ni uongo mtupu!
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
Unatoa majibu rahisi kwa maswli magumu,Topic umeianzisha mwenyewe halafu unaipindisha,si vizuri kumharibia mwenzako (Nape) Umesema hakupenda kukaa boarding kwani alichguliwa kenda shule gani advanced level.

Hizi thread za kuwaattack watu badala ya hoja zinawacost,kwa upande wa chuo umejitahidi kuchanganua japo si sana lakini sekondari umefunikafunika,WHY?

Kuna mtu kachanganua matokeo yake ya o level unasemaje kuhusu ule mchanganuo.
 
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
tunaomba utuwekee hapo O-level alipata div ngapi?, A-level kapata div ngapi

halafu hapo BUTIMBA TTC alisoma kama private candidate au? maana kile ni chuo cha ualimu. na pale jirani kuna shhule moja ya kata (O-level) inaitwa butimba sec imepakana na geti la butimba TTC
 
Nimefundishwa kuandika cv na mwalimu wangu wa Communication Skills miaka hiyo lakini kwa uelewa wangu hiyo sio cv haijakidhi viwango vya kuitwa cv labda tu google maana ya cv
 
Si kweli huwa anajua hawezi kuihiili

Huwa anaanzisha mada bila kujua athari zake kwake baadae
Anajikuta tu ameshazama kwenye kina kirefu


Halafu hajui kupima strength za adui yake, yeye alidhani Mnyika atafoji cheti cha digrii aje kujionesha hapa

Kumbe the guy is comfortable in his own skin
Myika kuweka elimu yake wazi kwa ukweli akafunga mjadala.

Kama kuna mada ambayo Nape kashikwa pabaya ni hii ya elimu,Magamba wenzie sasa hivi wanachekelea jamaa anavyosulubiwa na wadau mpaka tujue mbivu na mbichi.BTW kwa nini huyu jamaa huwa anaazisha mijadala ambayo anajua fika hawezi kuhimili kibao kinapogeuziwa upande wake?
 
Kisheria ikithibitika kweli, mtu kapata div iv,points 29 with f in basic maths, halafu akasoma egm, bila kuwa na credit, basi hilo ni kosa la jinai, kwa kudanganya ama kufoji, hukumu yake ni kufutiwa matokeo ya form six na kufungiwa vyeti vya vyuo, kwani vilitokana na udanganyifu pamoja na jela kwa miaka kadhaa kutokana na hakimu atakavyojirizisha, hivyo nape take care,isije tokea siku moja watu wakawa serious kwenye hili, ukabaki na cv ya form four tu
 
Mwanzo umesema "Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC" Sasa unasema alifanyia tu mtihani Butimba TTC kama center, swali je, hapo Butimba TTC kulikuwa na A Level ya EGM? kama kilikuwa kituo tu (center ya mtihani)je Nape alisoma shule gani ya A Level hapo Mwanza, kwa vile umesema hakupenda kuwa Boarding sasa tuambie kama alisoma Day Butimba TTC au shule ipi.

Ushauri tu, kama hujui ukweli wa wapi Nape alisoma usijaribu kuutetea uongo utamharibia zaidi ya kumtengenezea.
Ndugu yangu kwa hapo amemharibia kuliko alivofikiri.Akawadanganye huko Goba tena wale wasio jua kuhojikwa mjanja humpati
 
Mwanzo umesema "Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC" Sasa unasema alifanyia tu mtihani Butimba TTC kama center, swali je, hapo Butimba TTC kulikuwa na A Level ya EGM? kama kilikuwa kituo tu (center ya mtihani)je Nape alisoma shule gani ya A Level hapo Mwanza, kwa vile umesema hakupenda kuwa Boarding sasa tuambie kama alisoma Day Butimba TTC au shule ipi.

Ushauri tu, kama hujui ukweli wa wapi Nape alisoma usijaribu kuutetea uongo utamharibia zaidi ya kumtengenezea.

Mkuu TTC butimba hakuna High school miaka hiyo mpaka leo..... kiufupi jamaa alivyotoka Nsumba hakaanza kuungaunga plus magumash now ana MBA ya makaratasi.
 
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
matokeo ya kidato cha nne ni sehemu muhimu sana ndani ya CV, mbona umeskip mkuu?
 
Tuanzie hapa form 4

NAPE NNAUYE
SEX M DIV IV PTS 29 KISW D HIST D GEOG D ENGL F B/MATH F BIOL D CHEM D PHY D CIV F
-----------------------
JOHN MNYIKA
SEX M DIV I PTS 7 PHY A CHEM A BIOL A CIV A ENGL A GEOG A HIST A B/MATH A KISW A B/KNOW A
Mtu aliyepata F ya math anasomaje EGM..?
 
Back
Top Bottom