Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,631
- 20,966
KWELI HII NI HATARI sana/Mkuu hapa umemaliza kila kitu....Yaani umetutafunia Mfupa na kutumezesha...hii ni kidogo kati ya makubwa tunayoweza kuyaweka hapa,huko Tabora kwenye pori LA akiba ana vitalu sehemu ya
Ugunda na Ugalla, anavuna tembo na wanyama pori kama kawafuga
yeye
Tunapsema CCM ni "dubwana kubwa,siku ya "kuliua" lazima liondoke na damu na uhai Wa watu,Tunakuwa na maana kubwa