Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,219
- 335
Mhe MREMA akichangia hotuba ya CAG mwezi April 2012, alisema kwamba nji hii INALIWA LEFT RIGHT AND CENTRE, nimeamini, kwani ni kila kukicha watendaji wanasimamishwa? Ndani ya wiki moja Kama siyo mbili wakurugenzi aw TANESCO NA MAKUMBUSHO OUT!!!!!!! Tafakari