Hii nchi ilikuwa inaweza kwenda zake tu, angalia soko la Bilioni 1 na nyumba ya Milioni 350

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,338
D793F43B-4212-4D9E-98A1-E7400A5079B1.jpeg
10AD5655-63D6-427D-8923-8D84ABEA843B.jpeg
 
Kwa upumbavu wako unahisi hilo soko limejengwa kipindi gani, kama siyo kipindi cha shujaa!

Acheni ujinga! Hii nchi ilichezewa sana na watu kuzuiwa kuongea yanayoendelea!
Tena mpumbavu haswa, Hayati mwenyewe huku akijua kabisa Jangwani kuna jaa maji alijenga parking ya mwendo kasi Kwa mabilioni
 
Back
Top Bottom