S sagemba JF-Expert Member Jan 7, 2013 467 30 Dec 4, 2013 #1 Jamaa alifumaniwa akakimbilia kwenye daladala akiwa uchi, konda akawa anamshangaa,jamaa akamuliza konda unanishangaa nini? Konda;, Sishangai uchi wako najiuliza nauli umeweka wapi?
Jamaa alifumaniwa akakimbilia kwenye daladala akiwa uchi, konda akawa anamshangaa,jamaa akamuliza konda unanishangaa nini? Konda;, Sishangai uchi wako najiuliza nauli umeweka wapi?
K kill JF-Expert Member May 21, 2013 1,829 234 Dec 4, 2013 #3 usijisifu una mimba msifu aliyekupa mimba..
PetCash JF-Expert Member Mar 20, 2012 1,997 1,997 Dec 5, 2013 #10 SIRJENITO said: sijakuelewa ludia tena Click to expand... Rudia!!