bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Habari wana JF, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi kidogo kuhusu hii hali ya wanaume walio wengi kuonyesha interest ya mapenzi kwa akina dada wenye makalio makubwa. sina hakika kama ni tamaa tu au ndo wanaume walivyo!Ukijaribu kuangalia kwa umakini unakuta karibu akina dada wengi wenye makalio makubwa wanapenda kuvaa nguo zilizobana ili wayaonyeshe vizuri maumbile yao. Like wise,wanaume pia wanaonekana kuvutiwa sana na huo uumbaji.Swali:!! Je, hayo makalio makubwa yanasaidia nini au yana umuhimu gani pindi mnapokuwa kwenye sex?naomba mnisaidie waungwana!