Hii nayo inakuwaje!!!

bacha

JF-Expert Member
Aug 19, 2010
4,282
797
Habari wana JF, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi kidogo kuhusu hii hali ya wanaume walio wengi kuonyesha interest ya mapenzi kwa akina dada wenye makalio makubwa. sina hakika kama ni tamaa tu au ndo wanaume walivyo!Ukijaribu kuangalia kwa umakini unakuta karibu akina dada wengi wenye makalio makubwa wanapenda kuvaa nguo zilizobana ili wayaonyeshe vizuri maumbile yao. Like wise,wanaume pia wanaonekana kuvutiwa sana na huo uumbaji.Swali:!! Je, hayo makalio makubwa yanasaidia nini au yana umuhimu gani pindi mnapokuwa kwenye sex?naomba mnisaidie waungwana!
 
Habari wana JF, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi kidogo kuhusu hii hali ya wanaume walio wengi kuonyesha interest ya mapenzi kwa akina dada wenye makalio makubwa. sina hakika kama ni tamaa tu au ndo wanaume walivyo!Ukijaribu kuangalia kwa umakini unakuta karibu akina dada wengi wenye makalio makubwa wanapenda kuvaa nguo zilizobana ili wayaonyeshe vizuri maumbile yao. Like wise,wanaume pia wanaonekana kuvutiwa sana na huo uumbaji.Swali:!! Je, hayo makalio makubwa yanasaidia nini au yana umuhimu gani pindi mnapokuwa kwenye sex?naomba mnisaidie waungwana!
Makalio makubwa hayana kitu chochote wakati wa tendo,ni suala la mtu mmoja mmoja kuvutiwa na maumbile ya namna hiyo,kuna watu ambao pia hawavutiwi na mwanamke kuwa na ****** makubwa.Ila kwa wale wenzetu ambao wana tabia za kufanya wanawake kinyume na maumbile ndio wengi wanaopenda wanawake wenye makalio makubwa.
 
Habari wana JF, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi kidogo kuhusu hii hali ya wanaume walio wengi kuonyesha interest ya mapenzi kwa akina dada wenye makalio makubwa. sina hakika kama ni tamaa tu au ndo wanaume walivyo!Ukijaribu kuangalia kwa umakini unakuta karibu akina dada wengi wenye makalio makubwa wanapenda kuvaa nguo zilizobana ili wayaonyeshe vizuri maumbile yao. Like wise,wanaume pia wanaonekana kuvutiwa sana na huo uumbaji.Swali:!! Je, hayo makalio makubwa yanasaidia nini au yana umuhimu gani pindi mnapokuwa kwenye sex?naomba mnisaidie waungwana!

Hamna lolote ni tamaa tu makalio makubwa hayaongezi kitu chochote
 
hapo ndo nilitaka kupata ukweli,wale wanaopenda makalio makubwa huwa wanayafanyia nini wanapokuwa kwenye mapenzi?au kule kuyaona tu inatosha?
 
Habari wana JF, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi kidogo kuhusu hii hali ya wanaume walio wengi kuonyesha interest ya mapenzi kwa akina dada wenye makalio makubwa. sina hakika kama ni tamaa tu au ndo wanaume walivyo!Ukijaribu kuangalia kwa umakini unakuta karibu akina dada wengi wenye makalio makubwa wanapenda kuvaa nguo zilizobana ili wayaonyeshe vizuri maumbile yao. Like wise,wanaume pia wanaonekana kuvutiwa sana na huo uumbaji.Swali:!! Je, hayo makalio makubwa yanasaidia nini au yana umuhimu gani pindi mnapokuwa kwenye sex?naomba mnisaidie waungwana!

Wewe ni mwanaume au mwanamke? Kama ni mwanaume, je wewe unajiskiaje uyaonapo? Na kama ni mwanamke, je ni siri ipi huwafanya kuvaa nguo zenye kubana?
 
hapo ndo nilitaka kupata ukweli,wale wanaopenda makalio makubwa huwa wanayafanyia nini wanapokuwa kwenye mapenzi?au kule kuyaona tu inatosha?


Nikusaidie/niwasaide kitu kimoja tu
Katika suala la mahusiano kila mmoja kina kitu anachovutiwa nacho kwa mwenzake,iwe miguu minene,maji makubwa,mnywele ,sauti nzuri,urembo,ufupi,urefu,matiti,makalio,ongea ya mtu,ustarabu wa mtu,fedha za mtu nk

hivyo ikitokea mtu akampenda mtu kwa kimojawapo si makosa wala hakuna haja ya kuhoji na mapenzi yake

Hili suala la kile kile kilichomfanya ampendfe mtu kinasaidia nini katika sex hiyo ni siri yake,wewe mwenzako ulimpendea nini,na kinasaidia nini katika sex,sisi tunajua? hata tukijua itatusaidia nini,
 
Nikusaidie/niwasaide kitu kimoja tu
Katika suala la mahusiano kila mmoja kina kitu anachovutiwa nacho kwa mwenzake,iwe miguu minene,maji makubwa,mnywele ,sauti nzuri,urembo,ufupi,urefu,matiti,makalio,ongea ya mtu,ustarabu wa mtu,fedha za mtu nk

hivyo ikitokea mtu akampenda mtu kwa kimojawapo si makosa wala hakuna haja ya kuhoji na mapenzi yake

Hili suala la kile kile kilichomfanya ampendfe mtu kinasaidia nini katika sex hiyo ni siri yake,wewe mwenzako ulimpendea nini,na kinasaidia nini katika sex,sisi tunajua? hata tukijua itatusaidia nini,
umeongea point kabisa yale mambo ya nje yanayovutia wanaume wala hayana uhusiano wa moja kwa moja na kuchinja kobe ni maumbile tu ya nje ambayo kila mtu ana chaguo lake na kitu kinachomfuraisha mie ugonjwa wangu mkuu ni kuona kitovu cha demu na hakina kazi yoyote kunako bed room chenye kazi maalum hakionekani hadharani lakini ndio kinasoko kinoma
 
umeongea point kabisa yale mambo ya nje yanayovutia wanaume wala hayana uhusiano wa moja kwa moja na kuchinja kobe ni maumbile tu ya nje ambayo kila mtu ana chaguo lake na kitu kinachomfuraisha mie ugonjwa wangu mkuu ni kuona kitovu cha demu na hakina kazi yoyote kunako bed room chenye kazi maalum hakionekani hadharani lakini ndio kinasoko kinoma

sawa,lakini hebu tuchukulie kwa mfano umependa sauti ya mwanamke pindi anapoongea,kiukweli ni kwamba utavutiwa kila wakati atakapokuwa anaongea na wewe, au umependa ngozi yake ni laini,hivyo utapenda kuigusa ama la kuishika.Ndo hapo napouliza je makalio makubwa inakuwaje wajameni!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom