Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,546
- 19,411
Kuna mtu kanieletea picha ifuatayo katika mojawpao ya mass mailing ninazopopokea kila siku. Sijuii picha yenyewe imapeigwa wapi ila nina uhakika kuwa ni Tanzania.
Kuna tafisir nyingi sana kuhusiana na picha hiyo:
(1) Ni tangazo la kibishara ya kuvutia wateja ambao ni wanachama wa CCM.
(2) Ni tangazo la kuhamaisha watu wajiunge na CCM.
(3) Ni rushwa ya moja kwa moja ya kutoa upendeleo kwa wanachama wa CCM na kuwabagua wale wasio kuwa wanachama wa CCM
(4) .................
wewe unasemaje?
Kuna tafisir nyingi sana kuhusiana na picha hiyo:
(1) Ni tangazo la kibishara ya kuvutia wateja ambao ni wanachama wa CCM.
(2) Ni tangazo la kuhamaisha watu wajiunge na CCM.
(3) Ni rushwa ya moja kwa moja ya kutoa upendeleo kwa wanachama wa CCM na kuwabagua wale wasio kuwa wanachama wa CCM
(4) .................
wewe unasemaje?