Mzururaji
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,559
- 1,272
Ticha: how old is your father?
son: as old as i am
teacher: how it is possible?
Son: yes it is possible because he become father only after i was born
@@@@@@@@@
Baba: mwanangu nikuulize swali
mtoto:uliza baba
baba: assume unafukuzwa na simba mara ukaona mti ukaamua kuuparamia gafla unamwona nyoka mkubwa utafanya nin?
Mtoto:mbona rahisi hiyo baba
baba: jibu sasa
mtoto: kifupi naacha ku- assume kwa hiyo kutakuwa hakuna simba, nyoka wala mti unasemaje baba nimepata.
son: as old as i am
teacher: how it is possible?
Son: yes it is possible because he become father only after i was born
@@@@@@@@@
Baba: mwanangu nikuulize swali
mtoto:uliza baba
baba: assume unafukuzwa na simba mara ukaona mti ukaamua kuuparamia gafla unamwona nyoka mkubwa utafanya nin?
Mtoto:mbona rahisi hiyo baba
baba: jibu sasa
mtoto: kifupi naacha ku- assume kwa hiyo kutakuwa hakuna simba, nyoka wala mti unasemaje baba nimepata.