Hii misemo ya Kimarekani ina maana gani?

1,scratch my back i scratch yours maana yake nisaidie nikusadie au nilinde nikulinde

2.As a matter of fact maana yake ni ukweli uliopo ni kwamba...mfano mtu anaweza kusema ukweli ni kwamba sikupendi eg as a matter of fact i dont even like you

3.Dont fucvk with me inategemeana na mandhari ila inamaanisha ..usinichezee, usiniletee utani, usinizingue

4.kick your ass pia inategemeana na mandhari mfano inaweza kutumika kumwambia mtu utampiga au kumdhuru lakini pia katika michezo labda inatumika kama neno la kiswahili nitakushinda mfano. i will kick your ass in this video game ...kwamba nitakushinda kwenye hili game la video
Pia inawea kutumika kama neno la kumfukuza mtu mfano anaweza kusema'' i will kick your ass out right now'' maana nitakufukuza sasa hivi

5. goddamn pia inatumika kulingana na mandhari maana ya kwanza ni kama kusema ''kudadeki'' au ''dah'' kwa kusikitika mfano goddamn the bus is already left maana yake kwa kiswahili ni kwamba kudadeki/ dah gari limeshaondoka
Pia inaweza kutumika kuonesha uzuri au ubaya wa kitu au mtu mfano ''thats the fine goddamn car you got there '' maana yake unagari nzuri kweli kweli , Pia anaweza kusema
I don't give a shit

Imeakaaje hii
 
I don't give a shit

Imeakaaje hii
Hii maana yake kwamba sijali/sina nia au pale mtu aapoulizwa kuhusu mtu/kitu au jambo fulani kwa kiingereza inaendana na kusema i don't care..mfano anaweza kusema '' i dont give a shit about what kind job is as long as i make some money'' maana yake ''sijali ni kazi ya aina gani cha msingi nategeneza pesa''
Pia linatumeika sawa sawa na kusema ''i dont give a fucvk'', ''i dont give a damn''
 
Habarini wadau..Najua tuko kwenye majonzi makubwa kama taifa,,But katika kuskiliza nyimbo,kuangalia movies za Marekani hasa zenye Black Americans Characters kama Ice cube,Kevin Hart,Wesley Snipes,Mike Epps,Tiffany Had dish,Queen Latifah,Octavia Spencer,Will Smith nk.

Kuna baadhi ya misemo (Phrases)waga wanaiongea sijuagi inamaanishaga nini?!

Mfano wa Phrase izo no "Check the sound,Scratch my back I will scratch yours,As a matter of fact,Don't Fcuk with me,Kick your ass,goddamn"

Kwa anaejua maana zake please anijuze..Wasalaam.

@NgarenaroBoy
1.,Scratch my back I will scratch yours = Ni aidie nikusaidie
2.As a matter of fact= Kutokana na ukweli huo
3.Don't Fcuk with me = Acha kunizingua
4.Kick your ass = nitakufumua ( nitakupiga)
5.Goddamit = Mungu wanguu
 
Hii maana yake kwamba sijali/sina nia au pale mtu aapoulizwa kuhusu mtu/kitu au jambo fulani kwa kiingereza inaendana na kusema i don't care..mfano anaweza kusema '' i dont give a shit about what kind job is as long as i make some money'' maana yake ''sijali ni kazi ya aina gani cha msingi nategeneza pesa''
Pia linatumeika sawa sawa na kusema ''i dont give a fucvk'', ''i dont give a damn''
Shukrani bro
 
Bro hiyo scratch my back I will scratch yours huoni imejificha,zote2 zinanitatiza mkuu,,na Hiyo goddaaaamn

Scratch my back I will scratch yours inamaana unanisaidia ndio na Mimi nakusaidia. Yaani ni jambo linafanyika kwa pande mbili.

Unanipa kitu, nakupa kitu hakuna pungufu.

Sio ile ukituma nauli inaliwa, hapana.
 
Mkuu Shukrani sana,,Na hizi je.."Don't get twisted,Switch inside,Nigga Su"?
Hii maana yake kwamba sijali/sina nia au pale mtu aapoulizwa kuhusu mtu/kitu au jambo fulani kwa kiingereza inaendana na kusema i don't care..mfano anaweza kusema '' i dont give a shit about what kind job is as long as i make some money'' maana yake ''sijali ni kazi ya aina gani cha msingi nategeneza pesa''
Pia linatumeika sawa sawa na kusema ''i dont give a fucvk'', ''i dont give a damn''
 
Bro Shukrani sana🙏🙏
1." Check this out " ina maanisha "sikiliza nikupe mchapo" au "Ona hii"


2. "Scratch my back i will scratch yours" ina maanisha nisaidie na mimi nikusaidie au kwa lugha nyepesi ya sasa tunasema jiongeze.

3. "As a matter of fact" inatumika kama sisi pale tunaposema vitu kama "tena ngoja nimpigie kabisa", "tena umenikumbusha ngoja nitaongea nae" au "Kusema ukweli ni kwamba......." . Yaani hutumika katika sehemu ambapo unataka kuweka msisitizo wa jambo. Hapo nimekuelekeza mazingira ambapo neno linatumika but ukitaka tafasiri yake tunasema "kama jambo la ukweli" sijui kama nimekuweka sawa mkuu.

4. "Don't **** with me" ni kama kusema usinizingue, au usiniletee za kuleta, au kusema Usinijaribu nitakuzingua....

5. "kick your Ass" ina maanisha kama nitakubutua, au ntakudunda, ntakupasua, ntakupa kichapo, ntakunyuka....

Ass ni neno formal kumaanisha punda, ila watu weusi wakaligeuza na kumaanisha matako au makalio. Miaka ilivyokwenda wakawa wanalitumia zaidi kumaanisha tako (informal). So usishtuke tena kuona linatumika kwa mwanamke wakisema 'you have some nice ass au fat ass"

Mwingine utasikia anasema, bring your ass over here. Au utasikia wanasema you can kiss my ass.....

So linatumika kihivyo.....


6. Goddam ina maanisha MUNGU laani au komesha. Damn ni neno linalomaanisha kuzuia au kukomesha au kukemea..... Kibongobongo ni kama kusema kudadadeki...
 
Aaanhaa The Breakfast club by Deejay mwenye mawivu yake"Envy"Nna muda sijaifatilia,kumbe saivi Ni 105.1..ilikua 106.1,,Daah we chalii kumbe unaifatilia hii show..Noma kweli..Uko yente Babaa
Jingle inaruka kwenye The Breakfast Club ya Dj Envy,Chalamagne na Angela Yee,,Power 105.1 New York.
 
Mkuu Shukrani sana,,Na hizi je.."Don't get twisted,Switch inside,Nigga Su"?
1.dont get twisted pia kuna mandari inaweza kutumika kama kuonya mtu asfanye kitu cha kijinga ili asijekudhurika mfano'' dot get twisted out here or you gonna get hurt'' maana yake usifanye kitu cha kijinga utaumia.
Pia inaweza kutumika kumrekebisha mtu asipate maana tofauti ya maneno mtu anayomuambia au aliyo sikia mfano/ au kutilia maananani maneno au ujumbe uliotolewa '' nigga don't get twisted he doesnt mean it what yuo think'' maana yake '' mzee usichanganyikiwe hamaanishi unachofikiria'' pia inaeedana na neno ''don't be trippin'' katika mandhari hii.

2. Switch inside sijaeilewa sana ila kuna msemo pia unaendana na huu uko ''switch side'' maana yake ni ''tubadilishane'' mahala/sehemu/muonekane kwa lengo la kutoonekana..mfano ''lets swicth sides so she cant see us'' maana yake hebu tubadilishane ili asije akatuona''

3. nigga su hii siifahamu vizuri ila ina maana yake ninayoijua na msemo wa wahuni wa kundi ''gang'' la vijana la kimarekani linalojulikana kama ''bloods'' kama kiashiria cha kujitambulisha amabapo husema ''suu woop'' kwahiyo anaweza akasema ''nigga su'' akijitambulisha yeye ni ''blood'' mfano nyimbo nyingi za ''The game'' au movies wanazoigiza kuhusu makundi haya huo ndo utambulisho wa ''blood gang''
 
check the sound=hapa inategemea na ilivuotumika kwenye sentesi, ila maana yake ya moja kwa moja ni angalia sauti/ mziki
scratch my back i scratch yours=nisaidie nitakusaidia/nitunze nitakutunza/niangalie nitakuangalia
As a matter of fact=lakini kwa usahihi zaidi/lakini kwa uhakika zaidi/lakini kwa uhalisia zaidi/lakini kiukweli zaidi
Dont https://jamii.app/JFUserGuide with me=usiniletee usenge/ usinizingue
kick your ass=ntakufumua/ntakupiga
goddamn= umelaaniwa (na mungu)/mpuuzi /fala/mjinga (inategemea na ilivotumika kwenye sentensi)
 
1.dont get twisted pia kuna mandari inaweza kutumika kama kuonya mtu asfanye kitu cha kijinga ili asijekudhurika mfano'' dot get twisted out here or you gonna get hurt'' maana yake usifanye kitu cha kijinga utaumia.
Pia inaweza kutumika kumrekebisha mtu asipate maana tofauti ya maneno mtu anayomuambia au aliyo sikia mfano/ au kutilia maananani maneno au ujumbe uliotolewa '' nigga don't get twisted he doesnt mean it what yuo think'' maana yake '' mzee usichanganyikiwe hamaanishi unachofikiria'' pia inaeedana na neno ''don't be trippin'' katika mandhari hii.

2. Switch inside sijaeilewa sana ila kuna msemo pia unaendana na huu uko ''switch side'' maana yake ni ''tubadilishane'' mahala/sehemu/muonekane kwa lengo la kutoonekana..mfano ''lets swicth sides so she cant see us'' maana yake hebu tubadilishane ili asije akatuona''

3. nigga su hii siifahamu vizuri ila ina maana yake ninayoijua na msemo wa wahuni wa kundi ''gang'' la vijana la kimarekani linalojulikana kama ''bloods'' kama kiashiria cha kujitambulisha amabapo husema ''suu woop'' kwahiyo anaweza akasema ''nigga su'' akijitambulisha yeye ni ''blood'' mfano nyimbo nyingi za ''The game'' au movies wanazoigiza kuhusu makundi haya huo ndo utambulisho wa ''blood gang''
Thanks a lot bro,,Ntakua nakucheki unanisaidia baadhi ya misemo kuhusu hii lugha Mkuu🙏🙏 ...Kuhusu nigga su kutokana na jinsi ulivoelezea apo, kunae Ngoma ya YG pia inaitwa 'Suu whoop',,Ko nahisi ndi mulemule Chaliangu...Salute sana DAN LOKOMOTIVE
 
check the sound=hapa inategemea na ilivuotumika kwenye sentesi, ila maana yake ya moja kwa moja ni angalia sauti/ mziki
scratch my back i scratch yours=nisaidie nitakusaidia/nitunze nitakutunza/niangalie nitakuangalia
As a matter of fact=lakini kwa usahihi zaidi/lakini kwa uhakika zaidi/lakini kwa uhalisia zaidi/lakini kiukweli zaidi
Dont **** with me=usiniletee usenge/ usinizingue
kick your ass=ntakufumua/ntakupiga
goddamn= umelaaniwa (na mungu)/mpuuzi /fala/mjinga (inategemea na ilivotumika kwenye sentensi)
Salute sana mkuu
 
Back
Top Bottom