Dr Mabuga 30
JF-Expert Member
- May 8, 2021
- 320
- 330
Huyu mwenye macho Kama kinyonga anarembua nchi imemshinda toka day one
Hivi Raisi hawezi mara moja kupiga marufuku huu usanii unaofanywa na hawa mawaziri? Kwanza walikuwa wapi siku zote? Kimsingi hii si kazi yao ya kila siku . Ni Kazi ya watu wa mabonde ya maji pamoja na watu wa maliasili wa halmashauri za wilaya na manispaa. Kama vyanzo vyamaji vilishaharibiwa na mifugo na riparian land ilishaharibiwa kwa kilimo kisichozingatia utunzaji wa mazingira, hata mkizunguka na boening haisaidii. Bahati nzuri kila eneo la nchi hii limegawanywa kiutawala vizuri sana , kuna kitongoji, kijiji, kata, tarafa, Wilaya na Mkoa. Kweli kote huko pamekosekana utaratibu unaofaa kuhifadhi mito, chemchem, maziwa, hadi mawaziri wazunguke na helkopta angani?Ameanza Juma Awesu......waziri
Leo January Makamba........waziri
Atafuata Suleiman Jafo.......waziri
Hizi gharama za ukaguzi unaweza kujenga bwawa jipya
Maendeleo hayana vyama!
Wanapiga kimkakati 😀😀😀😀Ameanza Juma Awesu......waziri
Leo January Makamba........waziri
Atafuata Suleiman Jafo.......waziri
Hizi gharama za ukaguzi unaweza kujenga bwawa jipya
Maendeleo hayana vyama!