Umesema vyema brother.hizi nchi zetu za dunia ya tatu zina shida sana, hao wenye nchi zao (kama kweli wapo km unavyodai) ni heri wangejikita kutengeneza taasisi imara watasaidia sana badala ya kuweka mtu mmoja ainyooshe nchi haitasaidia chochote maana mtu hadumu km tulivyoona ila taasisi zipo milele,