PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
Habari members JF...!
Naomba kujulishwa kwa yeyote alie ona ukweli wa hii mikoba ya akina mama/baba utakuta mtu/me au ke ameubeba mkoba utadhani anasafiri kumbe anaenda kazini tena atakuepo huko kazini kwake kwa masaa kumi au tisa.
Najiuliza hua inabeba nini?
Maana kuna hospitali moja hapa mjini alikuepo dada mmoja kila siku anakuja home mkoba wake umejaa mashuka nets mikate maziwa... Hivyo hivyo kwa baba mwingine. Mbali na mikoba ya laptop...
Si kwamba nawachukia...kama ni uzito wa mikoba wanabeba wenyewe.
Nawakilisha!
Naomba kujulishwa kwa yeyote alie ona ukweli wa hii mikoba ya akina mama/baba utakuta mtu/me au ke ameubeba mkoba utadhani anasafiri kumbe anaenda kazini tena atakuepo huko kazini kwake kwa masaa kumi au tisa.
Najiuliza hua inabeba nini?
Maana kuna hospitali moja hapa mjini alikuepo dada mmoja kila siku anakuja home mkoba wake umejaa mashuka nets mikate maziwa... Hivyo hivyo kwa baba mwingine. Mbali na mikoba ya laptop...
Si kwamba nawachukia...kama ni uzito wa mikoba wanabeba wenyewe.
Nawakilisha!