Hii mifumo miwili inaweza kukupa credit sana na pia wewe na yeye kuenjoy tendo la ndoa

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
nliigundua hii mifumo ya uchezaji miaka mingi iliyopita baada ya kuona kupiga pasi fupi fupi au kupiga magoli menngi kunaweza pia kuharibu afya ya wewe mwanaume mchezaji. so hapo likaja wazo la kucheza formation moja nzuri ambayo inakuhakikishia heshima na ushindi kila wakati huku ukibaki na nguvu ya kuchez amechi hata nne kwa siku.

long pass. hiiunapokuwa unafanya mapenzi na mke/mwenzi wako unachukua muda mrefu kumaliza humalizi haraka haraka. unaweza chukua hata dk 40 kulingana na mwenzio anavyohitaji anapokuruhusu umalize basi mnamaliza pamoja kwa furaha. inaitwa long pass.hii inakuacha ukiwa bado na nguvu nyingi na unawea cheza game nyingine tena na tena na team ile ile au kama unataka kucheza mechi mbili au tatu na team tofaut tofaut.

double click. hii ni pale unapopiga two in one na sometime hata 3 kutegemeana na mhusika ambaye una mclick unapokuwa unapiga game unapomaliza usimalize yote katisha njiani then utakuwa umemaliza kidogo na hamu haijakuisha. mashine inabaki bado ina charge wakati huo huo unaendelea kupiga show bila kutoa au kuhamisha mawazo. hii huwa naipenda pale napocheza ana demu mgeni na ambaye ni mtamu sana na sitaki kumwachia mapema na hapo kila napotaka kumaliza nakatisha au namaliza kidogo naendelea na game ndani kwa ndani.

ili upige pass ndefu mwanaume usiweke akili kwenye kitendo na pia usiondoe kabisa. weka akili then ukiona wazungu wanakuja unakata internet. unaanza kuwaza madeni unayodaiwa.unaanza kuwaza maudhi flan uliyofanyiwa,unaanza kuwaza kero za wanasiasa wetu hawa, au jinsi ambavyo inasemakana vyuma vimekaza. halafu tena unarudi kwenye game..wazungu wakija una disconnect internet ..basi hapo unaweza kwenda hata 2 hrs mpaka mhusika akakwambie maliz ahapo una connect internet tena kwa 4G una Upload then kule mdada ana Download material game over.

hii mifumo yote inaanzia kwenye saikolojia. hilo ndo jambo la muhimu sana ambalo wanaume wengi hatulijui. tunadhan wakati mwingine kuwa kuna kitu special sana ambacho wanaomaliza muda mrefu wanakuwa nacho. mbali na kula vizuri na kushiriki mazoezi saikolojia ina nafasi kubwa sana katika jambo hili. uwezo wa kumaliza mapema upo kwa watu wawili. 1. mwanaume na 2. mwanamke unayefanya naye.
1. mwanaume ukiweza ku control hisia zako unaweza kaa muda mrefu bila kumaliza. kama hautaweka akili tendo la kumaliza.ikawa unapiga issue huku unafikiria jambo lingine au unafikiria tu kuwa unatakiwa uchukue muda mrefu then kuna uwezekano wa kuchukua muda mrefu zaidi kuliko ukiwa unawaza kumaliza tu kitendo

2. mwanamke. kuna wanamke wanajua kuweka mshawasha na usipokuwa makini unaweza jikuta unamaliza mapema sana. pia kuna ambaye ni so cold unaweza piga hata masaa mawili usimalize maana yu dont feel kabisa.

TAHADHALI: MIMI NATOA USHAURI TU NA PIA KUPOKEA USHAURI SI KWAMBA NI MJUZI WA HAYA MAMBO. Akina dada msinitafute.
 
Mkuu, hii long pass naiweza but hii double click kuna wakati naiweza wakati mwingine inanikimbia.

Sijajua wapi nakosea.
 
hiyo simu ungetupa. maana mwishowe watu wanaweza wakakushangaa unajua. itupe nunua simu angalau ya 900,000 na kuendelea. simu za chin ya bei hiyo huwa zinakuwa na mawenge flan hivi. mfano kama yako . mimi nmeandika kuwa MIMI SI MTAALAM WA MAMBO HAYO HIVYO WA S I N I T A F U T E
ahhahah kwangu inasomeka utafutwe
 
hiyo simu ungetupa. maana mwishowe watu wanaweza wakakushangaa unajua. itupe nunua simu angalau ya 900,000 na kuendelea. simu za chin ya bei hiyo huwa zinakuwa na mawenge flan hivi. mfano kama yako . mimi nmeandika kuwa MIMI SI MTAALAM WA MAMBO HAYO HIVYO WA S I N I T A F U T E

ahhahaaha nacheka sana aisee !haya bwana !msalimie wife
 
Long pass pia kama demu ni mpya kabisa na haujavaa kiatu huenda isichukue hata dk 10
 
nliigundua hii mifumo ya uchezaji miaka mingi iliyopita baada ya kuona kupiga pasi fupi fupi au kupiga magoli menngi kunaweza pia kuharibu afya ya wewe mwanaume mchezaji. so hapo likaja wazo la kucheza formation moja nzuri ambayo inakuhakikishia heshima na ushindi kila wakati huku ukibaki na nguvu ya kuchez amechi hata nne kwa siku.

long pass. hiiunapokuwa unafanya mapenzi na mke/mwenzi wako unachukua muda mrefu kumaliza humalizi haraka haraka. unaweza chukua hata dk 40 kulingana na mwenzio anavyohitaji anapokuruhusu umalize basi mnamaliza pamoja kwa furaha. inaitwa long pass.hii inakuacha ukiwa bado na nguvu nyingi na unawea cheza game nyingine tena na tena na team ile ile au kama unataka kucheza mechi mbili au tatu na team tofaut tofaut.

double click. hii ni pale unapopiga two in one na sometime hata 3 kutegemeana na mhusika ambaye una mclick unapokuwa unapiga game unapomaliza usimalize yote katisha njiani then utakuwa umemaliza kidogo na hamu haijakuisha. mashine inabaki bado ina charge wakati huo huo unaendelea kupiga show bila kutoa au kuhamisha mawazo. hii huwa naipenda pale napocheza ana demu mgeni na ambaye ni mtamu sana na sitaki kumwachia mapema na hapo kila napotaka kumaliza nakatisha au namaliza kidogo naendelea na game ndani kwa ndani.

hii mifumo yote inaanzia kwenye saikolojia. hilo ndo jambo la muhimu sana ambalo wanaume wengi hatulijui. tunadhan wakati mwingine kuwa kuna kitu special sana ambacho wanaomaliza muda mrefu wanakuwa nacho. mbali na kula vizuri na kushiriki mazoezi saikolojia ina nafasi kubwa sana katika jambo hili. uwezo wa kumaliza mapema upo kwa watu wawili. 1. mwanaume na 2. mwanamke unayefanya naye.
1. mwanaume ukiweza ku control hisia zako unaweza kaa muda mrefu bila kumaliza. kama hautaweka akili tendo la kumaliza.ikawa unapiga issue huku unafikiria jambo lingine au unafikiria tu kuwa unatakiwa uchukue muda mrefu then kuna uwezekano wa kuchukua muda mrefu zaidi kuliko ukiwa unawaza kumaliza tu kitendo

2. mwanamke. kuna wanamke wanajua kuweka mshawasha na usipokuwa makini unaweza jikuta unamaliza mapema sana. pia kuna ambaye ni so cold unaweza piga hata masaa mawili usimalize maana yu dont feel kabisa.

TAHADHALI: MIMI NATOA USHAURI TU NA PIA KUPOKEA USHAURI SI KWAMBA NI MJUZI WA HAYA MAMBO. Akina dada msinitafute.
Mwafrika ana fani tatu tu
1. Kucheza ngoma
2. Ngono/wanawake
3. Kunywa Pombe
 
demu mpya double click. usipige long pass. otherwise uwe unapiga huku umehamisha mawazo unafikiria kama rais atapandisha salary au bado atakaza vyuma.

Long pass pia kama demu ni mpya kabisa na haujavaa kiatu huenda isichukue hata dk 10
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom