Pale uwanja wa chamazi Azam complex kuna mashindano ya mpira wa miguu kwa timu za wanawake kutoka mataifa ya Afrika mashariki na Kati ( CECAFA) . Kwanza niseme kwamba Kuna timu za wanawake zinacheza mpira kuliko ata wanaume hapa nita refer timu za Uganda, Burundi, Kenya na Tanzania. Wanawake wa hizi timu wanapiga mpira kuliko ata midume.
Jambo la pili nikwamba haya mashindano yanaingiza umati mkubwa wa watu kuliko ata timu ya wanaume ya taifa inapocheza, sasa sijajuwa Kuna kiingilio kweli au ni bule? lakini ata kama ni bule mbona ata mechi nyingine kiingilio inakuwaga bule ila watu hawaendi uwanjani?
Jambo la pili nikwamba haya mashindano yanaingiza umati mkubwa wa watu kuliko ata timu ya wanaume ya taifa inapocheza, sasa sijajuwa Kuna kiingilio kweli au ni bule? lakini ata kama ni bule mbona ata mechi nyingine kiingilio inakuwaga bule ila watu hawaendi uwanjani?