Hii michezo ya utotoni niliipenda sana

Ack

Member
Dec 21, 2016
88
87
Kila mtu kuna mchezo ambao aliupenda enzi za utoto, na kama hakucheza michezo utotoni basi wewe atakua na kasoro.

kiukweli mimi ukiacha mchezo wa kombolela mchecho mwingne nilioupenda ni huu:

 
Kila mtu kuna mchezo ambao aliupenda enzi za utoto, na kama hakucheza michezo utotoni basi wewe atakua na kasoro.


kiukweli mimi ukiacha mchezo wa kombolela mchecho mwingne nilioupenda ni huu:


Umenikumbusha mbali sana kijana.
Mwisho ni mwa mpaka ya 70 watoto wa Kigogo,Tabula na maeneo ya karibu tulikuwa tukishuka bonde la msimbazi kupiga mbizi kama hiyo hasa nyakati za mvua.
Miaka hiyo mto msimbazi ulikuwa unafurika alafu hakukuwa na viwanda vvya kutiririsha kemikali kama sasa sema kichocho kilikuwa hakituachi
 
kuoga kwenye mvua nzito .hata ikianza usiku wa manane mi naamka tu..

nimecheza mingi sana ila huu nautamani bado..sema udada huu na watu wataona.
mingekuwa peke angu tena ndani ya fence......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom