Umenikumbusha mbali sana kijana.
Mwisho ni mwa mpaka ya 70 watoto wa Kigogo,Tabula na maeneo ya karibu tulikuwa tukishuka bonde la msimbazi kupiga mbizi kama hiyo hasa nyakati za mvua.
Miaka hiyo mto msimbazi ulikuwa unafurika alafu hakukuwa na viwanda vvya kutiririsha kemikali kama sasa sema kichocho kilikuwa hakituachi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.