Huyu si mwanamme wa Dar kweli? Mpelekeeni Mh. Makonda jina lake mara moja. Hawa jamaa siku hizi wamechizika mno, siku za nyuma walikuwa wanatumia mitandao kujiuza ila siku hizi wanacheza na ng'ombe kama hapo pichani ama utakuta mtu anakalia mti makusudi ukimpa kiti akalie anakuambia ana balance mgongo, kumbe holaaa. Nyie wanaume wa Dar mnachosha jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.