Hii Machine ya Ukweli zile ambazo tunapaswa kuwa nazo AU R8, Kaa Mbali kabisa

Hahah daah kumbe jamaa ni home boy wa tabata mkuu.?
Jamaa ni Tabata moja ndo maana alikua anatafuta fundi wa GX110 ngoja maadamu tupo mjini ile ford ranger tutaipata tu plate no. Tutajua mbivu na mbichi..
 
Kumbe humu ndani mnafahamiana?

Nimefungua uzi nkaanza kuusoma moja Kwa moja bila kuchek nani kauweka, but kuna sehemu nimefika nikastuka, nikajiambia mbona huu mwandiko kama naujua hivi... Kumbe ni wa brother kiduku lilo,..... How are you??😁😁
 
Thank you brother. I am so humbled. I am fine and dandy. Cant complain at all. Thank you.

Nimefungua uzi nkaanza kuusoma moja Kwa moja bila kuchek nani kauweka, but kuna sehemu nimefika nikastuka, nikajiambia mbona huu mwandiko kama naujua hivi... Kumbe ni wa brother kiduku lilo,..... How are you??😁😁
 
Anachonifurahisha baada ya kutufarakanisha huwa anapotea,sijui ndio anakwenda kuhesabu pesa
 
Back
Top Bottom