Hii Machine ya Ukweli zile ambazo tunapaswa kuwa nazo AU R8, Kaa Mbali kabisa

Hizi ndo mashine ambazo huwa nazungumzia.nadhani ndo maana nafikia hatua nawaza hivi kweli ntaweza endesha gari ya Mjapani? Ikiwa Ulaya na Marekani wanaendelea kuzalisha Magari mazito ya maana? Sijui.

View attachment 1223584

Engije ya hii Machine Muscle Car ni V10
Ina Speed 350
Horse Power yake ni 562
Ukianza kukanyaga accelerator kutoka 0-60kmh inachukua sekunde 3.5

View attachment 1223587
View attachment 1223590

Hii gari hata ukinunua. Kwa Tanzania hutaweza enjoy. Unaweza jikuta nawe unaonekana kama unaendesha vyombo vya usafiri kama Altezza,Subaru and the like.

Wengi hata thamani yake wanaweza wasifahamu. Kibaya hutaweza enjoy maana hamna barabara ya kuweza drive that car. Hizi barabara zetu zilizowekwa matuta kama ya viazi na kuhalalishiwa mashimo yaliyowekwa lami. Gari itakuwa inagusa chini na wakati mwingine haipandi sehemu nyingine.

Ni kama siku ya kwanza nmekuja TZ toka nchi za Watu. Ilikuwa Usiku nikawa nashangaa kwa nini barabara ya airport haijawekwa lami. Imeshindiliwa tu mpaka nafika oysterbay nikawa sielewi.nikajiuliza ina maana nchi ni maskini kiasi hicho. Siki mbili baadaye nikaja pita ile njia na kigundua kuwa watanzania wanaita barabara ya lami.nliumia sana.

Nikifananisha na barabara za usa,uk,scandinavian countries nlisikitika sana.

View attachment 1223600

Anyway msiwe bored na aina ya maisha yangu.maana hapa ningezungumzia Vyombo vya Usafiri vyaToyota ndo mngenielewa zaidi. But mimi nimeona nanyi wenzangu muweze enjoy Gari ndo maana nimewaletea kitu AUDI R8 machine ya Ukweli. Gari zenye Misuli.

Ndo maana huwa nashangaa kuna watu wanasema wanashindana kwa kutumia vitu vya kusafiria toka Japan. Siku mjaribu kushindana na gari sports za ukweli toka kwa wazungu.ndo mtaona raha ya ligi za barabarani.

Ndo maana mimi gari zangu ni RANGE ROVER, MERCEDES BENZ,BMW,FORD RANGER NA GMC. SASA NATAKA AUDI.

Hii machine si Ghali sana ni USD 240,000 Sawa na Tsh 500,000,000. Nakushauri kama wewe ni mtanzania mnyonge,mlalahoi na mwananchi. Hata ukipewa bure kataa. Waambie wakupe Chombo cha kukusafirisha tu toka Japan. Huwezi ihudumia hii machine. Na pia huwezi iendesha huko uswahilini sinza,kijitonyama na sijui wapi.

Hii ngoma ndio utaendesha kwenye hizi barabara za Jiwe?

Goodluck with that!
 
Hii mashine niliendesha siku moja Ina button moja nyekundu kwenye usukani ukiigusa hiyo kwanza mlio unabadilika na speed ya ajabu
Sasa hiyo sauti ni lazima watu wote wakuangalie halafu mziki wa nini wakati sauti yake tu burudani? V10 sio mchezo
 
Hii mashine niliendesha siku moja Ina button moja nyekundu kwenye usukani ukiigusa hiyo kwanza mlio unabadilika na speed ya ajabu
Sasa hiyo sauti ni lazima watu wote wakuangalie halafu mziki wa nini wakati sauti yake tu burudani? V10 sio mchezo
Mzee baba bora wewe utupe live experience achana na huyu mjomba aliyekua anaomba ushauri amehamia tabata anatafuta wapi atapata garage ya kutengeneza gx 110(grande mark 2) yake.

 
Mzee baba bora wewe utupe live experience achana na huyu mjomba aliyekua anaomba ushauri amehamia tabata anatafuta wapi atapata garage ya kutengeneza gx 110(grande mark 2) yake.


Mkuu hii gari ile ya mwaka 2018 ndio ilikuwa na nguvu sana yaani hata Huracan haiikamati
Ina nguvu sana nilikanyaga mafuta nikategemea labda nguvu ya kuondokea itageuka lakini wapi
Kwa kweli Audi zote ni nzuri sana au tuseme heshima kwa mjerumani kwa gari zake zote

Niliendesha ikiwa na 3 miles on the clock ingawa kuna wengine huwa wanasema eti kitu 0 km lakini ukweli hakuna hiyo kila moja lazima ijaribiwe kabla ya kukabidhiwa
Mimi mpenzi zaidi wa SUV na Q7 ndio chaguo la uhakika ikiwa na V12 ingine
Inakwenda kama gari ndogo
 
Pole ndugu kiduku!!
Screenshot_20191003-071748.jpg
 
w
Hizi ndo mashine ambazo huwa nazungumzia.nadhani ndo maana nafikia hatua nawaza hivi kweli ntaweza endesha gari ya Mjapani? Ikiwa Ulaya na Marekani wanaendelea kuzalisha Magari mazito ya maana? Sijui.

View attachment 1223584

Engije ya hii Machine Muscle Car ni V10
Ina Speed 350
Horse Power yake ni 562
Ukianza kukanyaga accelerator kutoka 0-60kmh inachukua sekunde 3.5

View attachment 1223587
View attachment 1223590

Hii gari hata ukinunua. Kwa Tanzania hutaweza enjoy. Unaweza jikuta nawe unaonekana kama unaendesha vyombo vya usafiri kama Altezza,Subaru and the like.

Wengi hata thamani yake wanaweza wasifahamu. Kibaya hutaweza enjoy maana hamna barabara ya kuweza drive that car. Hizi barabara zetu zilizowekwa matuta kama ya viazi na kuhalalishiwa mashimo yaliyowekwa lami. Gari itakuwa inagusa chini na wakati mwingine haipandi sehemu nyingine.

Ni kama siku ya kwanza nmekuja TZ toka nchi za Watu. Ilikuwa Usiku nikawa nashangaa kwa nini barabara ya airport haijawekwa lami. Imeshindiliwa tu mpaka nafika oysterbay nikawa sielewi.nikajiuliza ina maana nchi ni maskini kiasi hicho. Siki mbili baadaye nikaja pita ile njia na kigundua kuwa watanzania wanaita barabara ya lami.nliumia sana.

Nikifananisha na barabara za usa,uk,scandinavian countries nlisikitika sana.

View attachment 1223600

Anyway msiwe bored na aina ya maisha yangu.maana hapa ningezungumzia Vyombo vya Usafiri vyaToyota ndo mngenielewa zaidi. But mimi nimeona nanyi wenzangu muweze enjoy Gari ndo maana nimewaletea kitu AUDI R8 machine ya Ukweli. Gari zenye Misuli.

Ndo maana huwa nashangaa kuna watu wanasema wanashindana kwa kutumia vitu vya kusafiria toka Japan. Siku mjaribu kushindana na gari sports za ukweli toka kwa wazungu.ndo mtaona raha ya ligi za barabarani.

Ndo maana mimi gari zangu ni RANGE ROVER, MERCEDES BENZ,BMW,FORD RANGER NA GMC. SASA NATAKA AUDI.

Hii machine si Ghali sana ni USD 240,000 Sawa na Tsh 500,000,000. Nakushauri kama wewe ni mtanzania mnyonge,mlalahoi na mwananchi. Hata ukipewa bure kataa. Waambie wakupe Chombo cha kukusafirisha tu toka Japan. Huwezi ihudumia hii machine. Na pia huwezi iendesha huko uswahilini sinza,kijitonyama na sijui wapi.
[/QUOTE
Hii naikubali lakini kwa hukohuko kwao ula! huku kwetu hifui dafu!! maana makorongo kila kona barabara za kupishana ukikamua 300 ujue wafwa!! huku mitungi ndiyo inataesa!! VX/GX za aina hiyo. ila kwa wale washabki wa ligi ukikuta barabara zile za lani wala usiifuate!!
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom