matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,569
- 15,298
Katikati na mwishoni mwa awamu ya JPM
1: Ninashangaa kuona mtaani watu wanajenga nyumba hadi wanahamia bila kupumzika.
2: Jamaa wamefungua mahardware,maduka ya madawa, salooni kali, Bucha, Bar, carwash na nyumba za kulala wageni.
3: Vituo vya bodaboda viwili vikubwa ambavyo miaka mitatu iliyopita zilikuwa kama boda mbili tu na mwisho saa mbili.
4: Miaka mitatu iliyopita hakukuwa na kituo cha mafuta, leo viko vinne karibukaribu.
5: Shule za chekechea za kisasa kama nne hivi, na moja imefufuliwa hivi karibuni.
6: Mama ntilie, wauza samaki, kijiwe cha kahawa, maduka ya vyakula vya mifugo, welding ,magenge ya nyanya na maduka ya vitu vya nyumbani nayo yanamushroom kila kukicha.
Je, tukichukua hii kama sample, mipango ya hayati JPM ilikuwa inaanza kutunufaisha watanzania kidogo kidogo.
Je, yajayo yalikuwa yanaanza kufurahisha?
Ukiangalia Google map ya 2015 na ukipiga picha ariel view kwa drobe/hericopter au ndege utashangaa mabadiliko makubwa sana hasa miaka hii ya mwishomwisho.
Wakuu ni juhudi zetu tu au ndio matunda ya mikakati ya uchumi ya Hayati JPM
1: Ninashangaa kuona mtaani watu wanajenga nyumba hadi wanahamia bila kupumzika.
2: Jamaa wamefungua mahardware,maduka ya madawa, salooni kali, Bucha, Bar, carwash na nyumba za kulala wageni.
3: Vituo vya bodaboda viwili vikubwa ambavyo miaka mitatu iliyopita zilikuwa kama boda mbili tu na mwisho saa mbili.
4: Miaka mitatu iliyopita hakukuwa na kituo cha mafuta, leo viko vinne karibukaribu.
5: Shule za chekechea za kisasa kama nne hivi, na moja imefufuliwa hivi karibuni.
6: Mama ntilie, wauza samaki, kijiwe cha kahawa, maduka ya vyakula vya mifugo, welding ,magenge ya nyanya na maduka ya vitu vya nyumbani nayo yanamushroom kila kukicha.
Je, tukichukua hii kama sample, mipango ya hayati JPM ilikuwa inaanza kutunufaisha watanzania kidogo kidogo.
Je, yajayo yalikuwa yanaanza kufurahisha?
Ukiangalia Google map ya 2015 na ukipiga picha ariel view kwa drobe/hericopter au ndege utashangaa mabadiliko makubwa sana hasa miaka hii ya mwishomwisho.
Wakuu ni juhudi zetu tu au ndio matunda ya mikakati ya uchumi ya Hayati JPM