blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,364
- 12,470
Wadau hii wala c utani, huyu anayejiita DAUDI 1
namuona kama mchawi,
mchepuko wangu hapo town nimemuambia on MONDAY i'll be there.
Akanijibu nimsindikize mahali,,
nikamuuliza wapi? Hakujibu.
Nikasisitiza wapi?,
akanijibu,, kumuona DOCTA wake..
Nikasema huyu daud ni mwanga au nae ni dr.?
Ivi ni kweli ma dr. Ndo wako hvi.
namuona kama mchawi,
mchepuko wangu hapo town nimemuambia on MONDAY i'll be there.
Akanijibu nimsindikize mahali,,
nikamuuliza wapi? Hakujibu.
Nikasisitiza wapi?,
akanijibu,, kumuona DOCTA wake..
Nikasema huyu daud ni mwanga au nae ni dr.?
Ivi ni kweli ma dr. Ndo wako hvi.
Last edited by a moderator: