Hii Logic ipo sahihi..?

City centre ipi tz haina msikiti? Hizo sehemu zilikuwa na wakazi kitambo zats y zikatengenezwa nyumba za ibada
Mkuu namaanisha Exactly center of the city, yaani pale ambapo vipimo vinaonyesha kwamba hapa nikiyovu/ kati ya mji. Mimi najua kwa makanisa tu misikiti mnieleze
 
Makanisa ndiyo chimbuko la miji uliyoitaja, wazungu walipofika walijenga makanisa na ofisi zao na miji ikaendelezwa kuanzia hapo.
Mkuu wazungu walipokuja moshi walifikia rombo kutokana na mazingira na miaka hiyo old moshi ndio ilikua mjini ila kote huko hakuna Cathedral, see kigezo sio mji umepanuka wapi balj waliangalia wapi ndio katikati ya mji.
 
Sikiliza bwana mdogo, naamini kuna conspiracy umeigundua ila unatumia "kunafanya watu wote wawe sawa mbele za Mungu" kama scapegoat ili kuendelea kufanya utafiti na kuprove hiyo theory yako kwasababu kiukweli ukiitafakari hiyo logic yako ni very unwarranted. Therefore usikate tamaa, komaa utakuja kujua wajerumani waligundua nini kwenye ardhi yetu.
Wajerumani ndo walileta kanisa katoliki?
 
Habari
Wajuzi ningependa kujuzwa zaidi kuhusu hili.
It's a geometry of belief, makanisa ya kikatoliki hasa jimbo kuu la mkoa fulani hua limejengwa katikati ya mji. Yaani sehem inapoonyesa kwamba hapa ndio kati ya mji basi kanisa (Jimbo kuu) linakua limejengwa hapo. Sio kwenye clock tower or anything bali kwenye ile Quadrant inayonyesha kwamba hapa ndio kati.

Nimejaribu kuchunguza kwenye majimbo makuu niliyowahi kuhudhuria nimeona ni kwelii. Mfano, St. Joseph Cathedral Dar es salaam haipo mbali na eneo la Posta, St. Theresa Arusha halipo mbali na city center (Kroko wenyewe wanaita hivo), St Joseph Zanzibar lipo mbele kidogo tu ya Center, jimbo kuu la Shinyanga lipo mjini kati pia nimesahau eneo linaitwaje. Nk nk.

Logic ya kufanya hivyo ilikua kwamba kujenga kanisa katikati ya eneo fulani kunafanya watu wote wawe sawa mbele za Mungu.
Hivyo hivyo altar hujengwa katikati.

So kuprove kama hii theory ni kweli ningependa watu mlio maeneo mbalimbali Tz nk mniambie kama huko pia makanisa makuu ya kikatoliki yapo katikati ya mji. City center... Nachukua data kuhakikisha hii theory.

Head's Up.
Mtu ukifa unazikwa kichwa kikiwa kimeelekea mashariki(East), Kiimani mashariki inamaanisha kuchomoza (Dawn/Rising) so Watu huzikwa wakiwa wameelekea Mashariki jua linapochomoza ili roho za marehe ziweze kupata mwanga wa jua lichomozalo.

It's weird right???? Life is weird too.
Lets keep living

Logic muda wote ipo sahihi because it is the correct and systematic reasoning of something. Labda ungetumia neno jingine kuuliza swali lako.
 
Sio kweli. Kwanini?

Sababu kuu ni kuwa cathedrals nyingi hazikuwa cathedrals yalikuwa makanisa ya kawaida mpaka hapo parokia zilipokuwa nyingi ndipo zikapanda hadhi (kuwa na center ya parokia zote)

So in the beginning the cathedral was built as a normal church.

Kuhusu hilo la kuzika niliwahi kulisikia lakini sio strict ritual. Nayajua makaburi mengi ya Catholics ambayo haya face East.

normal church makanisa mengi hayo ni makubwa sana kuliko matawi yake,na yana miaka mingi unasemaje yamepewa ujimbo baada ya kukua???
 
Unajua kuna muda nikikaa nikifikiria mambo ambayo Germany imepitia na conspiracies zao nabaki naogopa, kuna muda nawazaga inawezekana Yesu alikuwa some immortal sumerian amabaye alishinikizwa kukubali mateso na uongozi wa dynasty yake ili aje kuwa long loved and cherished public figure ila nakataa, sometimes nafikiria yawezekana Yesu alikuja in body of Hitler ili kurevenge kwa Judes kwa walichomfanyia ila nakataa, nikifikiria jinsi Germany ilivyoinvolve kwenye long recognized and deadly wars nabaki natetemeka, hizi conspiracies ninazosikia kuhusu artifacts ambazo wajerumani waliziacha baada ya vita ndio naogopa kabisa, mjeruman huyu huyu alimpiga Brazil nguli wa mpira tangu dunia iumbwe goli saba bila huruma kombe la dunia mwaka nimesahau, juzi kati nilikuwa naangalia series moja inaitwa "Dark" imekuwa produced huko huko ina theme ya time travel, jamaa hawaamini katika Mungu kabisa.
Pia kuna conspiracies nyingi tu zilikuwepo wakati wa holocaust huko Germany, huko kuna mambo mazito yawezekana, yawezekana huko kweli kuna wormhole!
Kama ukivyosema mkuu hizo ni conspiracy tu hazina ukweli. Series ya dark nimeitazama 7months ago haihusiani na masuala ya Yesu
 
Logic muda wote ipo sahihi because it is the correct and systematic reasoning of something. Labda ungetumia neno jingine kuuliza swali lako.
Nikweli, nilikosea kuandika ilitakiwa niandike kuna ukweli kwenye Theory hii??? Na sio logic
 
Mkuu wazungu walipokuja moshi walifikia rombo kutokana na mazingira na miaka hiyo old moshi ndio ilikua mjini ila kote huko hakuna Cathedral, see kigezo sio mji umepanuka wapi balj waliangalia wapi ndio katikati ya mji.
Wengi walijenga karibu na makanisa ambako shule, hosipitali na sala zilipatikana kwa wakati huo, hapo Rombo kanisa liko nje ya mji wa Rombo? Dar, kanisa la Mt. Yosefu liko katikati ya jiji? Hapana.
 
Habari 👋
Wajuzi ningependa kujuzwa zaidi kuhusu hili.
It's a geometry of belief, makanisa ya kikatoliki hasa jimbo kuu la mkoa fulani hua limejengwa katikati ya mji. Yaani sehem inapoonyesa kwamba hapa ndio kati ya mji basi kanisa (Jimbo kuu) linakua limejengwa hapo. Sio kwenye clock tower or anything bali kwenye ile Quadrant inayonyesha kwamba hapa ndio kati.

Nimejaribu kuchunguza kwenye majimbo makuu niliyowahi kuhudhuria nimeona ni kwelii. Mfano, St. Joseph Cathedral Dar es salaam haipo mbali na eneo la Posta, St. Theresa Arusha halipo mbali na city center (Kroko wenyewe wanaita hivo), St Joseph Zanzibar lipo mbele kidogo tu ya Center, jimbo kuu la Shinyanga lipo mjini kati pia nimesahau eneo linaitwaje. Nk nk.

Logic ya kufanya hivyo ilikua kwamba kujenga kanisa katikati ya eneo fulani kunafanya watu wote wawe sawa mbele za Mungu.
Hivyo hivyo altar hujengwa katikati.

So kuprove kama hii theory ni kweli ningependa watu mlio maeneo mbalimbali Tz nk mniambie kama huko pia makanisa makuu ya kikatoliki yapo katikati ya mji. City center... Nachukua data kuhakikisha hii theory.

Head's Up.
Mtu ukifa unazikwa kichwa kikiwa kimeelekea mashariki(East), Kiimani mashariki inamaanisha kuchomoza (Dawn/Rising) so Watu huzikwa wakiwa wameelekea Mashariki jua linapochomoza ili roho za marehe ziweze kupata mwanga wa jua lichomozalo.

It's weird right???? Life is weird too.
Lets keep living ✌️
Makao makuu kuwa katikati ya Miji sababu kubwa ni kuwa:- hayo yalikuwa makanisa Mama, na wakati wa uanzishwaji wake uliangalia maeneo yaliyo na wakazi.

Hivyo, kuwa katikati ilikuwa kuweka uwiano sawa wa umbali (distance) kwa wakazi wanao zunguka eneo lilipo kanisa.

Mfano, St Peter, isingejengwa Magomen wakati wakazi wengi walikuwa maeneo ya kuzunguka posta! na wakati huo Kanisa lilitafuta aneo ambalo itakuwa rahisi kufikika kwa kila muumini!

Hivyo kuwa katikati, ilikuwa kubalance umbali sawa kwa waumini wanaozunguka eneo husika.

Mengine ni dhana tu tunazojijengea katika akili na mawazo yetu katika kutafiti na kuhoji, ikiwa ni sehemu ya uwezo tuliyopewa na Mungu Baba.
 
I am not sure kama ulichosema kama mfano kuhusu Rombo na Old Moshi kama ni sahihi mkuu. Sidhani kama Moshi Mjini ilipitwa kimaendeleo na Rombo na Old Moshi. Mimi nimefika kote huko lakini kwa mtizamo wangu nauona Moshi ni mji wa zamani zaidi kuliko Rombo na Old Moshi hata sio mji kamili ni maeneo tu ya kawaida (vijijini). Hapa watanisahihisha wengine (hiyo ni kwa experience yangu maeneo hayo).
Nitalifuatilia hili la rombo, moshi na old moshi...
Kuna vigezo vingi vinavyo determine location ya mji/jiji (city center). Zipo ishu za hali ya hewa, idadi ya watu, topography n.k. so mkuu nadhani pia hao missionaries wali consider hivyo vitu kabla ya kujenge hayo makanisa.
Sawa Inawezekana waliconsider wingi wa watu wa eneo lakini Inawezekana pia kigezo cha kua katikati kilitumika pia.
The most likely reason ni demographics. Isingekuwa rahisi kujenga kanisa kubwa sehemu ambayo pana wakazi wachache. So still naimani kuwa sababu sio kuwa walijua ndio katikati ya mji 'geometrically' bali ni sababu za ki demography na geography.
Thanks kwa mawazo mbadala
 
Mkuu namaanisha Exactly center of the city, yaani pale ambapo vipimo vinaonyesha kwamba hapa nikiyovu/ kati ya mji. Mimi najua kwa makanisa tu misikiti mnieleze
Acha sound mzee, ulipimaje ukajua hapo ndio centre?
 
Wajerumani ndo walileta kanisa katoliki?
Hapo ni site fulan hi pamoja na Wikipedia View attachment 2025059
Screenshot_20211127-124437.jpg
 
The earth has no center on its surface, it is just around like sphere but not 100%, for that fact anywhere on earth can be center of the earth relative to accepted condion eg spinning/rotation, imaginary line(latitude and long gude),sun rise and set
, compass direction and so forth.
Rember the geogeaph of location of the earth is man made just for the sake of communication, otherwise the earth is judt sleeping landmass which has nothing to do with our definition!
Acvording to your perception those areas are at the center nut according to me it is not.
The same analogy can be used to define God.
If you study the theory of relativity(By Einstein) and understand it, you can conlude that most of the information are wrong !
 
Back
Top Bottom