Hii Logic ipo sahihi..?

Paragraph hiyo inaonyesha kwamba mamluka zinazotoa takwimu kwamba sehemu hii ndio city center hua wanakadiria tu au hua wanavipimo vya kijeografia.
Ukitumia kigezo kwamba shemu zilizokua zimekua ndio zilifanywa kua city center na hivyo makanisa makuu yakajengwa hapo utakua umekosea.
Mfano..Rombo na Old moshi ndio sehemu zilizokua zimekua naa kuendelea enzi hizo. Lakini je City center ipo rombo au old moshi? Jibu ni hapana lakini pia Cathedral ipo rombo au old moshi? Jibu ni hapana pia.

Hence, kukua kwa mji haikua kigezo cha kuwekwa cathedral bali wamisionari/Jesuist walipokua wanajenga makanisa enzi hizo walikua wanajua kabisa wapi ni katikati ya mji

Nasubiri kwakweli nijifunze kitu kipya hata kama itakua ni picha za mitandaoni kutoka nchi zingine
I am not sure kama ulichosema kama mfano kuhusu Rombo na Old Moshi kama ni sahihi mkuu. Sidhani kama Moshi Mjini ilipitwa kimaendeleo na Rombo na Old Moshi. Mimi nimefika kote huko lakini kwa mtizamo wangu nauona Moshi ni mji wa zamani zaidi kuliko Rombo na Old Moshi hata sio mji kamili ni maeneo tu ya kawaida (vijijini). Hapa watanisahihisha wengine (hiyo ni kwa experience yangu maeneo hayo).

Kuna vigezo vingi vinavyo determine location ya mji/jiji (city center). Zipo ishu za hali ya hewa, idadi ya watu, topography n.k. so mkuu nadhani pia hao missionaries wali consider hivyo vitu kabla ya kujenge hayo makanisa.

The most likely reason ni demographics. Isingekuwa rahisi kujenga kanisa kubwa sehemu ambayo pana wakazi wachache. So still naimani kuwa sababu sio kuwa walijua ndio katikati ya mji 'geometrically' bali ni sababu za ki demography na geography.
 
Jiulize jambo,wakati yanajengwa ilikuwa katikati ya mji?,rudi nyuma miaka hiyo yanajengwa
Katikati ya mji simaanishi kwamba ile Sehemu iliyoendelea zaidi bali vipimi vya kijeografia vinaonyesha pale ndio center ya mji. Sio kwa kuzingatia kuendelea kwa mji hapana.
 
Rudia tena kujiuliza kama vipimo vya eneo mfano la jiji la dar mwaka hilo kanisa linajengwa ndo hivihivi na havipanuliwi kiasi useme unaongelea eneo kijiografia siyo majengo
 
Rephrase please...


dunia hii ina mambo mengii sanaa. Mfano katika ujenzi wa haya majumba ya ibada ya imani mbalimbali uzijuazo, huwaga kuna vitu havikogo sawa tukianza na majumba yenyewe yapogo align toward direction fulani, na tunaweza sema vipo kawaida ila vinasababu ya kuwa vilivyo. vipimo vya ramani yake pia vipo kimafumbo, mavazi wavaayo hao waongoza ibada na ranks zao huwa zinatofautiana.
 
dunia hii ina mambo mengii sanaa. Mfano katika ujenzi wa haya majumba ya ibada ya imani mbalimbali uzijuazo, huwaga kuna vitu havikogo sawa tukianza na majumba yenyewe yapogo align toward direction fulani, na tunaweza sema vipo kawaida ila vinasababu ya kuwa vilivyo. vipimo vya ramani yake pia vipo kimafumbo, mavazi wavaayo hao waongoza ibada na ranks zao huwa zinatofautiana.
Nasikia enzi za Mwalimu kile kijijengo kilichochoka cha freemanson cheupe pale posta karibu na benki kuu, palitakiwa pajengwe kitu fulani kikubwa cha serikali, watu wa serikali wakamfuata Teacher wakamuuliza vipi mzee tuvunje ile hall akasema hapana msibomoe na wala msifikirie kufanya hivyo, kumbuka teacher hakuwahi kusikika alikuwa mwanachama na kama mnavojua freemanson ni NGo lakin lile jengo halikuvunjwa na wala kuwa nationalized. Therefore kuna mambo ni dogma.
 
Hivi uzi za aina hii ndo huwa mnaziita... Sijui ma introverts au extroverts...

Ni nini kwani hasa;!?
 
Paragraph hiyo inaonyesha kwamba mamluka zinazotoa takwimu kwamba sehemu hii ndio city center hua wanakadiria tu au hua wanavipimo vya kijeografia.
Ukitumia kigezo kwamba shemu zilizokua zimekua ndio zilifanywa kua city center na hivyo makanisa makuu yakajengwa hapo utakua umekosea.
Mfano..Rombo na Old moshi ndio sehemu zilizokua zimekua naa kuendelea enzi hizo. Lakini je City center ipo rombo au old moshi? Jibu ni hapana lakini pia Cathedral ipo rombo au old moshi? Jibu ni hapana pia.

Hence, kukua kwa mji haikua kigezo cha kuwekwa cathedral bali wamisionari/Jesuist walipokua wanajenga makanisa enzi hizo walikua wanajua kabisa wapi ni katikati ya mji

Nasubiri kwakweli nijifunze kitu kipya hata kama itakua ni picha za mitandaoni kutoka nchi zingine
Cathedral Tanzania ipo moja, Bukoba
 
Miji yenyewe hiyo iliimarishwa na wamisionari na wakawa wanajiwekea huduma muhimu za kijamii zote ziwe karibu sasa kukiwa na kanisa unashangaaje tena!?

Tukirudi nyuma kidogo kwenye History ya ordinary level unasoma kabisa kuwa jamaa walitenga maeneo rasmi kwa shughuli zao na baada ya wao kuondoka ndipo unaona hadi leo yale maeneo waliweka makazi yao utakuta hayo makanisa

Ninakuongezea ili ukachunguze tena... utakuta pia shule kongwe, zahanati na huduma nyingine ambapo utasikia wabongo ile ni ya MISHENI

Sababu kubwa ni kwamba wale (hao) jamaa elimu ya mazingira (circular) wameibobea kabla yetu kwahiyo hata hayo maeneo waliyachagua si kwa kubahatisha bali waliconsider vigezo vingi hivyo mbongo huna uwezo wa kupaepuka kupaendeleza kukawa mji (yaani kunakuwa na sifa na vigezo vyote vya watu kupakimbilia)
 
Nasikia enzi za Mwalimu kile kijijengo kilichochoka cha freemanson cheupe pale posta karibu na benki kuu, palitakiwa pajengwe kitu fulani kikubwa cha serikali, watu wa serikali wakamfuata Teacher wakamuuliza vipi mzee tuvunje ile hall akasema hapana msibomoe na wala msifikirie kufanya hivyo, kumbuka teacher hakuwahi kusikika alikuwa mwanachama na kama mnavojua freemanson ni NGo lakin lile jengo halikuvunjwa na wala kuwa nationalized. Therefore kuna mambo ni dogma.

Mambo mengine huwaga unaweza dhani ni stories lakin ndivyo yalivyo.
 
Kuhusu kuzika huzingatia
1.Kama ndani ya kanisa altare/madhabahu imekaaje mwelekeo.
2.Nje huwa tunazingatia eneo ni tambarale au mwinuko,jiografia ya maziko hujieleza kukwepa maji ya mvua isihamishe makaburi.mashariki/magharibu hakuna hiyo.
 
Unajua kuna muda nikikaa nikifikiria mambo ambayo Germany imepitia na conspiracies zao nabaki naogopa, kuna muda nawazaga inawezekana Yesu alikuwa some immortal sumerian amabaye alishinikizwa kukubali mateso na uongozi wa dynasty yake ili aje kuwa long loved and cherished public figure ila nakataa, sometimes nafikiria yawezekana Yesu alikuja in body of Hitler ili kurevenge kwa Judes kwa walichomfanyia ila nakataa, nikifikiria jinsi Germany ilivyoinvolve kwenye long recognized and deadly wars nabaki natetemeka, hizi conspiracies ninazosikia kuhusu artifacts ambazo wajerumani waliziacha baada ya vita ndio naogopa kabisa, mjeruman huyu huyu alimpiga Brazil nguli wa mpira tangu dunia iumbwe goli saba bila huruma kombe la dunia mwaka nimesahau, juzi kati nilikuwa naangalia series moja inaitwa "Dark" imekuwa produced huko huko ina theme ya time travel, jamaa hawaamini katika Mungu kabisa.
Pia kuna conspiracies nyingi tu zilikuwepo wakati wa holocaust huko Germany, huko kuna mambo mazito yawezekana, yawezekana huko kweli kuna wormhole!
 
Bwana Kit Harrington, ni bora umletee screenshot ya definition ya "cathedral" kutoka Google
Nimemkatalia huyo mdau alichosema maaa yale majimbo mauu ndio Cathedral yenyewe. Kwa Tanzania kuna Cathedral kama 22 kila mkoa ukiondoa mikoa iliyoanzishwa maybe miaka 20 iliyopita

Btw hoja zingine nitazijibu panapo majaaliwa
 
Nimemkatalia huyo mdau alichosema maaa yale majimbo mauu ndio Cathedral yenyewe. Kwa Tanzania kuna Cathedral kama 22 kila mkoa ukiondoa mikoa iliyoanzishwa maybe miaka 20 iliyopita

Btw hoja zingine nitazijibu panapo majaaliwa
Samahani hebu weka vizuri, umesema cathedrals 22 kila mkoa au umemaanisha 22 Tanzania nzima?
 
Habari 👋
Wajuzi ningependa kujuzwa zaidi kuhusu hili.
It's a geometry of belief, makanisa ya kikatoliki hasa jimbo kuu la mkoa fulani hua limejengwa katikati ya mji. Yaani sehem inapoonyesa kwamba hapa ndio kati ya mji basi kanisa (Jimbo kuu) linakua limejengwa hapo. Sio kwenye clock tower or anything bali kwenye ile Quadrant inayonyesha kwamba hapa ndio kati.

Nimejaribu kuchunguza kwenye majimbo makuu niliyowahi kuhudhuria nimeona ni kwelii. Mfano, St. Joseph Cathedral Dar es salaam haipo mbali na eneo la Posta, St. Theresa Arusha halipo mbali na city center (Kroko wenyewe wanaita hivo), St Joseph Zanzibar lipo mbele kidogo tu ya Center, jimbo kuu la Shinyanga lipo mjini kati pia nimesahau eneo linaitwaje. Nk nk.

Logic ya kufanya hivyo ilikua kwamba kujenga kanisa katikati ya eneo fulani kunafanya watu wote wawe sawa mbele za Mungu.
Hivyo hivyo altar hujengwa katikati.

So kuprove kama hii theory ni kweli ningependa watu mlio maeneo mbalimbali Tz nk mniambie kama huko pia makanisa makuu ya kikatoliki yapo katikati ya mji. City center... Nachukua data kuhakikisha hii theory.

Head's Up.
Mtu ukifa unazikwa kichwa kikiwa kimeelekea mashariki(East), Kiimani mashariki inamaanisha kuchomoza (Dawn/Rising) so Watu huzikwa wakiwa wameelekea Mashariki jua linapochomoza ili roho za marehe ziweze kupata mwanga wa jua lichomozalo.

It's weird right???? Life is weird too.
Lets keep living ✌️
Makanisa ndiyo chimbuko la miji uliyoitaja, wazungu walipofika walijenga makanisa na ofisi zao na miji ikaendelezwa kuanzia hapo.
 
Makanisa mengi yale ya zamani hasa yapo katikati ya mji. Labda sasa hivi ndio hawazingatii jambo hili.

Mkuu my logic is pinned to the fact that haimaanishi ni kanisa kuu au kigango but Karibia kila city center kuna kanisa katoliki hata kaa halitakua cathedral. Kama nakosea ndio hapo nauliza watu waliopo sehemu mbalimbali za miji wanieleze

Binafsi naamini hii kitu ni strict ritual hata kama wafanyaji wa jambo hilo hawatakua na maana hiyo niliyoeleza. Sijawahi kuona kaburi ambalo halijaelekea East kwa wakristo na kwa waislam ndio kabisa lazima kaburi lielekee Kibrah/East hata wakati wa kuchinja lazima mnyama uelekee kibra
City centre ipi tz haina msikiti? Hizo sehemu zilikuwa na wakazi kitambo zats y zikatengenezwa nyumba za ibada
 
Nasikia enzi za Mwalimu kile kijijengo kilichochoka cha freemanson cheupe pale posta karibu na benki kuu, palitakiwa pajengwe kitu fulani kikubwa cha serikali, watu wa serikali wakamfuata Teacher wakamuuliza vipi mzee tuvunje ile hall akasema hapana msibomoe na wala msifikirie kufanya hivyo, kumbuka teacher hakuwahi kusikika alikuwa mwanachama na kama mnavojua freemanson ni NGo lakin lile jengo halikuvunjwa na wala kuwa nationalized. Therefore kuna mambo ni dogma.
Kuna maandiko yanasema teache hakuwahi kuwa mwanachama wa freemason japo alijua wapo na hakutaifisha mali zao
 
Back
Top Bottom