darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,719
- 16,931
Hivi hakuna watu wanaokuja dm kuomba 'uchumba' mkuu.
Ikiwezekana badili mkuu.
Ikiwezekana badili mkuu.
Sio kila mafua ni corona mkuu
Sio kila mafua ni corona mkuu
Utawala huu umezalisha mashoga wengi sana Mkuu, trust me.Ila mkuu Avatar yako haki inachanganya.
Ila mkuu Avatar yako haki inachanganya.
Ulikumbuka kuficha funguo ila hukujua nini kinaendelea kati yako na demuDuu hapana aisee. NI mshkaji Sana yule manzi
Huogopi maghorofa ya fundi Maiko?Mi huwa siangalii sana bei ila hoteli ninayolala lazima iwe na maji moto, bed breakfast na iwe ghorofani kuanzia floor ya 2 na kuendelea na kama kuna any possibility huwa nalala upper floor
Ufunguo ulifichwa kwa akili iliyokuwa imebakia kidogo.Ulikumbuka kuficha funguo ila hukujua nini kinaendelea kati yako na demu