The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,330
- 4,146
Inategemea na makubaliano Yao, hata angelipwa thumuni pia sawa as long as the agreement said so
Mr bones (leon schuster) kile ni kipaji aise, ana movie kibao za zamani tamu sanaNi classical movie, mr bone kajaribu ila uwa kuna vitu vya kuforce mle hasa ile sijui wanatafuta chain ina vituko vya kulazimisha. Yule aliyeigiza kama mtoto wa king kwenye hiyo movie hakuwa actor mzuri
Agreement wakati hakujua kusoma wala kuandika? Wala hakujua thamani ya pesa.Inategemea na makubaliano Yao, hata angelipwa thumuni pia sawa as long as the agreement said so
Kwakweli, unajua mi mwenyewe huwa linanishangaza hilo.....waliwezaje kuigiza vizuri vile? Yaani uhalisia kabisa kabisa!Yeye na ile familia yake unaweza kusema siyo kwamba wanaigiza ni kama uhalisia vile
Management inatoka wapi miaka ya 70 huko😂Kwamba alikua Hana management?
Hahahaa! Wakina Emmanuel Kaini na wale wahindi waswahiliKatika hawa wanaosifu muvi za jamaa zinaishi nina uhakika nikiuliza wangapi wameona filamu inaitwa Shamba Kubwa pengine asitokee hata mmoja hapa.
Weeee! Wale watoto mmoja wao si alianzishiwa uzi humu ni mmaza mtu mzimakiukweli hawa jamaa walikuwa wanatafuta mtu kama bushman ndio walipokuwa jangwa la kalahari wakakutana na nixau huyu,
Alikuwa hazijui pesa kweli malipo yake ya kwanza alitupa na badala yake alidai ng'ombe, hakuwahi kuwaona wazungu kabla..
Baada ya muda kuingia ile filamu ya God's must be crazy part 2 nixau alidai pesa ndefu jamaa wakashangaa kazijulia wapi pesa, hii ni kutokana na nixau kusafiri sana na wazungu hao na hivyo kuzijua pesa na matumizi yake.
Nixau alifuga ng'ombe 20 tu kutokana na kwamba alikuwa anajua kuhesabu mpaka 20 tu..
Wale watoto wawili baada tu ya movie ile hawakujulikana wako wapi tena, kiufupi walipotea mpka leo,.
Nixau alifariki miaka ya 2008 au na 2009 .
Wewe ni dhehebu gani hadi ulete kashifa za kidini kwenye Uzi wa mwenzio. Dhehebu unalosali halina mapungufu ambayo wao wakiyaanika hapa mtaonekana vituko?ilitakiwa aende airport kupanda ndege bila viza one way to Elen white headcorter USA baby!
Kwani huwajui wasabato masalia ndugu yangu Labda alitaka bush man afanye hivyo kwenda kudai mpunga wake walio mpiga huko mambele!
wale watoto wapo,binti ameshakuwa Bibi,ingia hata Google na kwenye Wikipedia wameelezea wapo wapi na wanafanya ninikiukweli hawa jamaa walikuwa wanatafuta mtu kama bushman ndio walipokuwa jangwa la kalahari wakakutana na nixau huyu,
Alikuwa hazijui pesa kweli malipo yake ya kwanza alitupa na badala yake alidai ng'ombe, hakuwahi kuwaona wazungu kabla..
Baada ya muda kuingia ile filamu ya God's must be crazy part 2 nixau alidai pesa ndefu jamaa wakashangaa kazijulia wapi pesa, hii ni kutokana na nixau kusafiri sana na wazungu hao na hivyo kuzijua pesa na matumizi yake.
Nixau alifuga ng'ombe 20 tu kutokana na kwamba alikuwa anajua kuhesabu mpaka 20 tu..
Wale watoto wawili baada tu ya movie ile hawakujulikana wako wapi tena, kiufupi walipotea mpka leo,.
Nixau alifariki miaka ya 2008 au na 2009 .
Shamba kubwa film ya mapigano iliyo chezewa tangaKatika hawa wanaosifu muvi za jamaa zinaishi nina uhakika nikiuliza wangapi wameona filamu inaitwa Shamba Kubwa pengine asitokee hata mmoja hapa.
Kashfa Gani nilizoweka hapa?Wewe ni dhehebu gani hadi ulete kashifa za kidini kwenye Uzi wa mwenzio. Dhehebu unalosali halina mapungufu ambayo wao wakiyaanika hapa mtaonekana vituko?
Watu Kwa kuforce ugomvi hamjambo,utakuja upopolewe mawe shauri zako!Jamaa alilipwa Kama Haji Manara aisee.
Hivi huyu Hellen White ni nabii wa wasabato au ni mbeba maono wao....maana huwa sielewi wasabato misingi yao imesimama wapi hasa. Mafundisho yao mengi ni kutabiri mwisho wa dunia, ingawa wameingia chaka mara kibao, mafundisho kuhusu vyakula najisi, mafundisho kuhusu kwenda kuishi milimani na kula majani wakati wa dhiki kuu, mafundisho kuhusu alama ya mnyama na mpinga kristo na kuhusianisha na kanisa katoliki. Mkuu kama unajua zaidi kuhusu wasabato naomba udadavuzi, please.....ilitakiwa aende airport kupanda ndege bila viza one way to Elen white headcorter USA baby!
Kwani huwajui wasabato masalia ndugu yangu Labda alitaka bush man afanye hivyo kwenda kudai mpunga wake walio mpiga huko mambele!
😅😅😅😅
Yea nafikiri ndiyo ya kwanza kwa Tz. Lakini tukiulizana wangapi wameiona tutapatikana watu wachache sanaShamba kubwa film ya mapigano iliyo chezewa tanga
I still remember it