Jamaa walitumia kutofahamu kwake kumwibia, maana movie ya kwanza alilipwa $300 inasemekana kwa kutojua ni nini akaziachia zipeperushwe na upepo.
Ni classical movie, mr bone kajaribu ila uwa kuna vitu vya kuforce mle hasa ile sijui wanatafuta chain ina vituko vya kulazimisha. Yule aliyeigiza kama mtoto wa king kwenye hiyo movie hakuwa actor mzuriHuyu jamaa haitatokea mtu wa kumzidi ktk kada yake..muvi zake ni mzuri all the time
He was smart upstairs
Huwa hazichuji pamoja na kuwa ni za miaka 40 iliyopitaHuyu jamaa haitatokea mtu wa kumzidi ktk kada yake..muvi zake ni mzuri all the time
Halafu alikuwa msabato
Bush man hata ukimpa pesa hana Kazi nazo
Hiyo ya kuacha pesa ipeperushwe itakuwa uongo.Jamaa walitumia kutofahamu kwake kumwibia, maana movie ya kwanza alilipwa $300 inasemekana kwa kutojua ni nini akaziachia zipeperushwe na upepo.
Japo kwa kipindi hicho $300 zilikuwa na thamani sana kuliko sasa ila alipigwa sana.
Mpaka anakufa inakadiliwa alikuwa na utajiri wa $100000 tu.
Kwaiy Kam alikuwa msabato?Halafu alikuwa msabato
ilitakiwa aende airport kupanda ndege bila viza one way to Elen white headcorter USA baby!Kwaiy Kam alikuwa msabato?
Unatakiwa ujambee mbrrrrrr mbrrrrrr mbrrrrrr mbele ya hawara ya bibi yako mzaa babu yako.Kwaiy Kam alikuwa msabato?
Je ulisoma mkataba wake na hao unaowaita mabeberu?