ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,643
Kwamba sisi tunaomtetea Rais na kumsemea na kutangaza kazi zake tutakuwa tunafaidika na pesa za CCM sio kweli.acheni kujidanganya mamilion ya watu wanamkubali Rais.hakuna Cha vijana wa lumumba wanaolipwa hela kutangaza kazi za Rais Makini Wala sisi sio watoto wa mawaziri au wabunge.sisi Ni watanzania wa kawaida kabisa ila sema tu tumefikiria Sana tukaona hukU tulipo ndipo pazuri.pima Mara mbili kata Mara moja..tukapima kule kwa kina lowasa na mbowe tukaona siko.tukapima hukU kwa kina Magufuli na bashiru tukaona Ni uhakika sio maigizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app