Salaam wana Jf.
Hivi ngono ina nini?
Mapadr, mashekhe, viongozi wote wa dini zote wanafanya mema yote ila ngono inawashinda, watu wanavumilia kusengenya, wizi, unafiki n.k ila wanashindwa kuacha ngono. Hivi ngono ina nini?....???..
it is like a radioactive material i.e material which disintegrate to half of its initial value naturally.
natural disintergration inaletwa na energy ambayo haya material contain (heat, light wateva) ila lazima iwepo emissions flanflan ili kustablelize
the same to ngono lazima iwepo namna ya kuleta internal stabilization either kwa kudoo, kujichuna,chabo pornography but at the end of the day unapata utulivu maridhawa
Chezea kitu kingine lakini hapo wewe acha tu.Pana raha zake.Ndoa nyingi uvunjika chanzo lazima kunakunyimana au kugawa hiyo kitu nje .Lakini gawa pesa hata mabilinioni hakunashida..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.