Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Juma alimua kusafiri kwenda mbali. Akamvika mkewe chupi ya chuma yenye kufuli.
Ufunguo wa chupi alimwachia rafiki yake mkubwa na kipenzi kwa maelezo kuwa
asiporudi baada ya miaka minne amfungulie mkewe ili aishi maisha ya kawaida.
Juma alianza safari yake. Muda si mrefu kabla hajafika mbali akamwona rafiki
yake kipenzi anamkimbilia . akasimama kumsubiri kujua kulikoni.
Akauliza: Vipi rafiki yangu? Rafiki akajibu; umenipa ufunguo ambao si wenyewe!!!:wink2:
Ufunguo wa chupi alimwachia rafiki yake mkubwa na kipenzi kwa maelezo kuwa
asiporudi baada ya miaka minne amfungulie mkewe ili aishi maisha ya kawaida.
Juma alianza safari yake. Muda si mrefu kabla hajafika mbali akamwona rafiki
yake kipenzi anamkimbilia . akasimama kumsubiri kujua kulikoni.
Akauliza: Vipi rafiki yangu? Rafiki akajibu; umenipa ufunguo ambao si wenyewe!!!:wink2: