Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,299 33,082 Nov 22, 2012 #1 Bado ipo na inachomwa kwenye mitaa hiyo kitu jamani? Nyakati kama Hizi......
BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,987 2,009 Nov 22, 2012 #2 Mkuu umenifanya nimekumbuka sana nyumbani,maana hapa nilipo kitu "orijino" kama hicho hakipo kabisa
S Sangomwile JF-Expert Member Aug 17, 2012 3,195 1,021 Nov 22, 2012 #5 Imeboreshwa siku hizi,wanaweka na pilipili.
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,299 33,082 Nov 22, 2012 Thread starter #6 Na Hapa je unasemaje? Karibuni ndio ninakula saa hizi.........................
KIJOME JF-Expert Member Jun 7, 2012 3,084 732 Nov 22, 2012 #9 Inachomwa bhana,kwani hata wewe hapo si umenunua barabarani au?
M Mr Rocky JF-Expert Member Oct 10, 2007 15,178 14,349 Nov 22, 2012 #10 MziziMkavu wacha bana utawafanya watu wengine mate yawadondoke hapa tumemiss sana hiyo kitu eti Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,007 16,413 Nov 22, 2012 #11 MziziMkavu said: Na Hapa je unasemaje? Karibuni ndio ninakula saa hizi......................... Click to expand... Hayo maharagwe kama ya Sekondari! Mchuzi kibao! Sio wivu jamani!
MziziMkavu said: Na Hapa je unasemaje? Karibuni ndio ninakula saa hizi......................... Click to expand... Hayo maharagwe kama ya Sekondari! Mchuzi kibao! Sio wivu jamani!