Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
kuna Imani miongoni mwa wanawake kwamba wanawake wenye "mbano" wanapendwa zaidi na wanaume kuliko wale "zilizopwaya" lakini kwa wanaume nako kuna imani kwamba wale wenye "ndefu, nene" ndiyo wanaopendwa zaidi na wanawake kwani huwa wanawafikisha zaidi kuliko wenye "fupi, nyembamba".
Dhana hizi mbili zimesababisha kwamba wanawake wanatafuta dawa (hata za kichina) kuwasaidia ili "zibane" wakati huo huo wanaume kwa upande wao hutafuta dawa ili ziwe 'ndefu,nene". Hapa lengo kuu huwa ni kufikishana na si kukomoana. lakini hili swala kisayansi likoje?
Ni kweli wenye "ndefu,nene" ndiyo huwafikisha wanawake kileleni kuliko wenye "fupi,nyembamba? Na jee ni kweli kwamba wanawake wenye "zilizopwaya" hawana ubavu wa kuwafurahisha wanaume kuliko wale wenye "mbano? Sayansi ya ngono inatuambiaje. Ni mchango kiasi gani maumbile yetu yanasaidia kutufikisha kileleni.
Ukitaka kujua ukubwa wa Tatizo hili angali vibao vya waganga wa kienyeji wanavyotangaza kuwa na dawa za kubana au kurefusha!!
Dhana hizi mbili zimesababisha kwamba wanawake wanatafuta dawa (hata za kichina) kuwasaidia ili "zibane" wakati huo huo wanaume kwa upande wao hutafuta dawa ili ziwe 'ndefu,nene". Hapa lengo kuu huwa ni kufikishana na si kukomoana. lakini hili swala kisayansi likoje?
Ni kweli wenye "ndefu,nene" ndiyo huwafikisha wanawake kileleni kuliko wenye "fupi,nyembamba? Na jee ni kweli kwamba wanawake wenye "zilizopwaya" hawana ubavu wa kuwafurahisha wanaume kuliko wale wenye "mbano? Sayansi ya ngono inatuambiaje. Ni mchango kiasi gani maumbile yetu yanasaidia kutufikisha kileleni.
Ukitaka kujua ukubwa wa Tatizo hili angali vibao vya waganga wa kienyeji wanavyotangaza kuwa na dawa za kubana au kurefusha!!