Deni langu bodi ni milioni 10.4, Walianza kunikata mwaka 2013 kiasi 47,000/= kwa mwezi ambayo ni saw a na 56,4000/= per year.
Mwaka 2014 inaongezeka riba 6% ambayo ni sawa na 624,000/=
Riba ni kubwa kuliko makato ya mwaka mzima maana yake mwaka mzima wa 2013 ni kama sijalipa kitu?
Je, hili deni litaisha kweli kwa hali hii?
Mwaka 2014 inaongezeka riba 6% ambayo ni sawa na 624,000/=
Riba ni kubwa kuliko makato ya mwaka mzima maana yake mwaka mzima wa 2013 ni kama sijalipa kitu?
Je, hili deni litaisha kweli kwa hali hii?