Kuna wafanyabiashara na wajasiriamali wanachekesha mnoo,na utawakuta wanalalamika kuwa biashara ngumu
Inakuaje unaenda kwa mfanyabiashara anayeuza bidhaa fulani ,halafu una sh 10000 (Elfu kumi noti) akuuzie bidhaa ambayo ni sh 200,300,500,700,au 1500 halafu ukishachukua bidhaa na kutoa noti tajwa unampa kwa mshangao anakurudishia hela yako kisa hana chenji
Pia cha kushangaza zaidi hajishughulishi kutafuta chenji badala yake anataka wewe mnunuzi ndo utafute chenji uje ununue bidhaa hiyo
Je ni halali mfanyabiashara kugoma kukuzia bidhaa kisa una hela kubwa?
Je watu kama hao watalalamika kuwa hawajauza leo hata senti ?
Je umewahi kukutana na wafanyabiashara kama hao? Ulichukua hatua gani au uliwaza nini kichwani
Wengine wanasema wafanyabiashara kama hao huwa wanakataa kwa sababu wanahisi unatafuta chenji maana haiwezekani utoe noti ya sh elfu kumi ununue wembe ya sh 100,utakuwa unatafuta chenji
Lakini hata kama lakini si unatafuta hela ,kwa nini ulete bidhaa sokoni?
Unazungumziaje wafanyabiashara wa hivyo
Inakuaje unaenda kwa mfanyabiashara anayeuza bidhaa fulani ,halafu una sh 10000 (Elfu kumi noti) akuuzie bidhaa ambayo ni sh 200,300,500,700,au 1500 halafu ukishachukua bidhaa na kutoa noti tajwa unampa kwa mshangao anakurudishia hela yako kisa hana chenji
Pia cha kushangaza zaidi hajishughulishi kutafuta chenji badala yake anataka wewe mnunuzi ndo utafute chenji uje ununue bidhaa hiyo
Je ni halali mfanyabiashara kugoma kukuzia bidhaa kisa una hela kubwa?
Je watu kama hao watalalamika kuwa hawajauza leo hata senti ?
Je umewahi kukutana na wafanyabiashara kama hao? Ulichukua hatua gani au uliwaza nini kichwani
Wengine wanasema wafanyabiashara kama hao huwa wanakataa kwa sababu wanahisi unatafuta chenji maana haiwezekani utoe noti ya sh elfu kumi ununue wembe ya sh 100,utakuwa unatafuta chenji
Lakini hata kama lakini si unatafuta hela ,kwa nini ulete bidhaa sokoni?
Unazungumziaje wafanyabiashara wa hivyo