Ukweli nakubaliana na Raid wetu pamoja na viongozi waandanizi wa NCHI hii kwa kazi nzuri wanazofanya kunyoosha NCHI.
.
Rais wetu amekuwa mstari wa mbele kupinga Rushwa, Uzembe kazini, Uhujumu uchumi na ukosefu wa ubunifu kwa viongozi. Hadi hapo tuko pamoja.
ATAPANGIWA KAZI NYINGINE
Hapo ndipo chanzo cha Mimi kuandika Uzi huu, kuna vigogo Rais alipo watengua amekuwa na kauli ya kuwapangia kazi zingine ambazo pia hazitaji ni za chama, serikali, wataongoza watu, watapelekwa veta?
Mfano alipo mpumzisha Chief Secretary Balozi Ombeni Sefue alisema hayo.
Kwa mama Anna Malicela pia akasema hivyo hivyo.
Leo kuna kigogo mmoja amemnyofoa hapa Mara akasema hivyo hivyo kupitia kwa Msemaji wake!!.
Sasa Mimi elimu yangu ni ndogo tena ya hapa na pale sielewi mantiki ya kumnyofoa MTU kwenye kazi yake kisha ukamuahidi kazi nyingine serikalini.
Kifamilia inaleta mantiki mfano House girl anaweza akahamishiwa getini au mapokezi.Pia mchunga ng'ombe anaweza akabadilishiwa kazi akawa mlinzi getini n.k
Mimi nichukulie ni Mwalimu wa Elimu Msingi, nimekamatwa na kabinti ninakashughulikia ofisini kwangu, red handed taarifa zikafika kwa DEO, TSD n.k Je kwa mtindo huu nitabadilishiwa kazi niwe mlinzi wa shule, Mgambo, Mtendaji wa kijiji? Au Mwalimu wa cheke chea?Au nitaondolewa moja kwa moja?
Kama nitaondolewa hawa wanao ahidiwa kazi zingine watakuwa wamewatendea haki wanao ondolewa jumla wakikosea?
.
Rais wetu amekuwa mstari wa mbele kupinga Rushwa, Uzembe kazini, Uhujumu uchumi na ukosefu wa ubunifu kwa viongozi. Hadi hapo tuko pamoja.
ATAPANGIWA KAZI NYINGINE
Hapo ndipo chanzo cha Mimi kuandika Uzi huu, kuna vigogo Rais alipo watengua amekuwa na kauli ya kuwapangia kazi zingine ambazo pia hazitaji ni za chama, serikali, wataongoza watu, watapelekwa veta?
Mfano alipo mpumzisha Chief Secretary Balozi Ombeni Sefue alisema hayo.
Kwa mama Anna Malicela pia akasema hivyo hivyo.
Leo kuna kigogo mmoja amemnyofoa hapa Mara akasema hivyo hivyo kupitia kwa Msemaji wake!!.
Sasa Mimi elimu yangu ni ndogo tena ya hapa na pale sielewi mantiki ya kumnyofoa MTU kwenye kazi yake kisha ukamuahidi kazi nyingine serikalini.
Kifamilia inaleta mantiki mfano House girl anaweza akahamishiwa getini au mapokezi.Pia mchunga ng'ombe anaweza akabadilishiwa kazi akawa mlinzi getini n.k
Mimi nichukulie ni Mwalimu wa Elimu Msingi, nimekamatwa na kabinti ninakashughulikia ofisini kwangu, red handed taarifa zikafika kwa DEO, TSD n.k Je kwa mtindo huu nitabadilishiwa kazi niwe mlinzi wa shule, Mgambo, Mtendaji wa kijiji? Au Mwalimu wa cheke chea?Au nitaondolewa moja kwa moja?
Kama nitaondolewa hawa wanao ahidiwa kazi zingine watakuwa wamewatendea haki wanao ondolewa jumla wakikosea?