Hii kauli ya Makamu wa Rais ina maana gani?

Inaonekana wewe ni mtu mkubwa saana hapa nchini mpaka uliweza kupita kambi zote za jeshi nchini mwaka 2015 na ukaona chadema wanaongoza, hongera saana kiongozi
Kwa jinsi TZ ilivyo usiseme jeshi halijaingizwa siasa. Huoni akina Makamba, Mkuchika, Komba, Lowasa, na wengine akina kikwete, Maokola Majogo, Kinana, watu kibao walitoka CCM kuingizwa jeshini na wakarudi CCM?

Angalia wanajeshi kibao wakistaafu wanapewa vyeo vya CCM, usiseme jeshi halipo kisiasa sema jeshi lipo kisiasa za CCM lakini nao wangeruhusu ex military akistaafu ajiunge na upinzani wa CCM mbona mngekoma mapema sana CCM???

Maana ingekuwa kuna wafuasi wa vyama vingine pia kama walivyokomesha Ile uchaguzi wa 2015 walimnyoosha jiwe mpaka akawachukia kweli maana makambini kote CHADEMA ilikuwa inaongoza.
 
Inaonekana wewe ni mtu mkubwa saana hapa nchini mpaka uliweza kupita kambi zote za jeshi nchini mwaka 2015 na ukaona chadema wanaongoza, hongera saana kiongozi
Yawezekana haukufuatilia kura za kwenye vituo kaabna waliokuwa wasimamizi mjomba acha kuhisi unajua. Bahati nzuri wengi ya wasimamizi wa 2015 hawatapinga hili mjomba.
 
Sipingi hata kidogo ila kitu ulichoongea huwezi kuthibitisha na kingine toka lini jiwe akawa na chuki na askari

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatupo hapa kuthibitisha kila hoja maana nyingine unapewa kama hints na ukisoma vizuri nilichoandika haihitaji kuendelea kuniquote na kusema haubishi 🤷

Mengine huwa tunayachukua halafu unajiongeza ukiona hauna majibu basi chukulia umepewa info isiyo ya ukweli. Ila kwa mwenye akili hapo anajua info hiyo anaipata wapi.

Otherwise alamsiki jomba.
 
Wanajeshi wenyewe wameridhika wengi vitambi vitupu, hamna jeshi hapa
Ukiwaona wembamba hao ujue ni kuruta mpya na muda si mrefu anachomoa kazi na kurudi kitaa...
Maana hata vyeo vya kukupa kitambi ni mishimise...
 
Ukali wa wanajeshi wetu sijawahi kuuona popote, ina maana wote waliotangulia walikuwa na busara hawajawahi kuvurugwa na yeyote toka tupate uhuru?

Hajawahi kutokea mwenye robo busara. Angepewa Kangi Lugola angejaribu kuwatifua. Yule hajatulia; anaweza kudhani kuwa waziri wa ulinzi maana yake amepandishwa cheo kuwa 5-star general!
 
Kwa jinsi TZ ilivyo usiseme jeshi halijaingizwa siasa. Huoni akina Makamba, Mkuchika, Komba, Lowasa, na wengine akina kikwete, Maokola Majogo, Kinana, watu kibao walitoka CCM kuingizwa jeshini na wakarudi CCM?

Angalia wanajeshi kibao wakistaafu wanapewa vyeo vya CCM, usiseme jeshi halipo kisiasa sema jeshi lipo kisiasa za CCM lakini nao wangeruhusu ex military akistaafu ajiunge na upinzani wa CCM mbona mngekoma mapema sana CCM???

Maana ingekuwa kuna wafuasi wa vyama vingine pia kama walivyokomesha Ile uchaguzi wa 2015 walimnyoosha jiwe mpaka akawachukia kweli maana makambini kote CHADEMA ilikuwa inaongoza.
Hao walipelekwa jeshini kama makamisaa miaka ya sabini wakati wa chama kimoja, mwaka 1992 wakatolewa jeshini kurudishwa uraiani baada mfuma wa chama kimoja kuvunjika.
 
Very good answer, now the question is, walipelekwa kufanya nini? Makamisaa wa nini Yani purpose ya kuwatoa makada na kuwapeleka jeshini wakapata mavyeo then wakarudi kwenye siasa ilikuwa nini?

Ukisema 1992 ndio walirudishwa nakataa maana akina Lowassa na mzee Mkuchika na hao wengine walifanya kazi na Nyerere na walikuwa Mawaziri toka enzi hizo walipotoka jeshini especially baada ya Vita ya Kagera so hawakukaa sana huko jeshini so nakataa hiyo hoja yako kwamba walirudishwa 1992.

Siasa ipo kwenye jeshi letu na no siasa ya CCM tukubaliane tu mzee.
Hao walipelekwa jeshini kama makamisaa miaka ya sabini wakati wa chama kimoja, mwaka 1992 wakatolewa jeshini kurudishwa uraiani baada mfuma wa chama kimoja kuvunjika.
 
Very good answer, now the question is, walipelekwa kufanya nini? Makamisaa wa nini Yani purpose ya kuwatoa makada na kuwapeleka jeshini wakapata mavyeo then wakarudi kwenye siasa ilikuwa nini?

Ukisema 1992 ndio walirudishwa nakataa maana akina Lowassa na mzee Mkuchika na hao wengine walifanya kazi na Nyerere na walikuwa Mawaziri toka enzi hizo walipotoka jeshini especially baada ya Vita ya Kagera so hawakukaa sana huko jeshini so nakataa hiyo hoja yako kwamba walirudishwa 1992.

Siasa ipo kwenye jeshi letu na no siasa ya CCM tukubaliane tu mzee.
Watoto wa miaka ya tisini utawajuwa tu kushupaa kwa ubishi dah!
 
Hivi huyo mama ni raia "parsee"?

Naona anaweza kuwa na exposure na security clearance ya juu sana kuzidi hata wapiganaji wengi
Kama hauna security clearance Rais akisema upewe ndio inakuwa ushapewa boss. No one atabisha sana sana mtaishia kupeleka report za utendaji afterwards na kutoa ushauri tu.
 
Ukali wa wanajeshi wetu sijawahi kuuona popote, ina maana wote waliotangulia walikuwa na busara hawajawahi kuvurugwa na yeyote toka tupate uhuru?
Umri wako unaweza kuwa tatizo, hujasimuliwaga mikasa iliyomkuta Nyerere?
 
ila makamu siku hizi hasikiki sana
Alikuwa na kihelehele alijifsnya Bado ana madaraka kama waziri,naona amefata ushauri aliopewa,ndio inavyotakiwa kuwa,Umakamu wa Raisi,ni cheo kisicho na mamlaka,yeye hatakiwi kusikika kabisa,hatakiwi kusikika zaidi ya Raisi,Kwa huku bars,mwenye mamlaka yake ni Waziri mkuu,Makamu wa Raisi yupo pale kama "president in waiting"ikitokea Raisi akapata madhala,
 
Very good answer, now the question is, walipelekwa kufanya nini? Makamisaa wa nini Yani purpose ya kuwatoa makada na kuwapeleka jeshini wakapata mavyeo then wakarudi kwenye siasa ilikuwa nini?

Ukisema 1992 ndio walirudishwa nakataa maana akina Lowassa na mzee Mkuchika na hao wengine walifanya kazi na Nyerere na walikuwa Mawaziri toka enzi hizo walipotoka jeshini especially baada ya Vita ya Kagera so hawakukaa sana huko jeshini so nakataa hiyo hoja yako kwamba walirudishwa 1992.

Siasa ipo kwenye jeshi letu na no siasa ya CCM tukubaliane tu mzee.
Inaelekea hukumbuki political history ya nchi hii. Wakati wa chama kimoja kulikuwa na sera kuwa kila mtumishi wa umma lazima ajue itikadi ya chama. Kwa hiyo majeshini na taasisi mbalimbali za umma walipelekwa watu ikufundisha na kuhamasisha watu kuifahamu na kuipenda itikadi ya chama hicho. Wengi wao walikuwa wanatokea kivukoni College; kwa jeshini waliitwa makamisaa, lakini uraiani pia walikuwa wakiitwa waalimu wa siasa. Makamisaa kama Kikwete, Nsa kaisi, Mkuchika hawakua professional soldiers. Kwa mfano Nsa Kaisi alitoka uandishi wa habari akawa mkuu wa mkoa na kuwa Luteni Kanali. Hayo ni mambo ya miaka ya zamani sana, hayapo leo tena, yalifikia kikomo mwaka 1992
 
Inaelekea hukumbuki political history ya nchi hii. Wakati wa chama kimoja kulikuwa na sera kuwa kila mtumishi wa umma lazima ajue itikadi ya chama. Kwa hiyo majeshinini na taasisis mbalimbali za umma waliepelekwa watu ikufundisha na kuhamasisha wtukuifahamu na kuipenda itikadi ya chama hicho. Wengi wao walikuwa wanatokea kivukoni College; kwa jeshini waliitwa makamisaa, lakini uraiani pia walikuwa wakiitwa waalimu wa siasa. makamisaa kama Kikwete, Nsa kaisi, Mkuchika hawakua professional soldiers. Kwa mfano Nsa Kaisi alitoka uandishi wa habari akawa mkuu wa mkoa na kuwa Luteni Kanali. Hayo ni mambo ya miaka ya zamani sana, hayapo leo tena, yalifikia kikomo mwaka 1992
Ok
 
Back
Top Bottom