alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,366
- 3,109
Marafiki na members wote salamu kwenu na heri ya mwaka mpya, ama baada ya salamu naomba kwenda kwenye mada husika hapo juu ikichagizwa na maelezo haya:
Nipo kwenye uhusiano na wanawake watatu tu, na katika hao ni wawili ndio nimeona kama Mara nyingi maneno Yao yakinigusa moja kwa moja ama kushabihiana, mfano ni hivii.
Kwa nyakati tofauti ninaweza kuwapigia simu wasipokee au kuwatumia sms kwa Whatsapp wasijibu kwa wakati ila mda huo unaona wapo online, basi wakija kunitafuta au nikiona mda unaenda wako kimya mimi ninaweza kutxt hivi ‘Hivi ina maana call zangu na sms zangu huzioni au una maana gani kutokunijibu na ilihali upo online ‘. Marafiki ama hakika majibu Yao mengi inakua ni kunilaumu mimi nipo harsh na sipendi kujua kwa nini hawajajibu kwa wakati ila nalaumu tu, hivyo hupendelea kusema mimi ni mkorofi na natakiwa niwaulize in a polite way, jamani mtu yupo online unamtxt hajibu anajibu na kukutafuta morning baada ya Lisaa kweliiii na mimi nikipiga kimya wanalaumu nimebadilika. Nisiwachoshe nihitimishe
Nimetafakari hii kauli ya kuishi nao kwa akili naona bado napata mkanganyiko kulinganisha na huo huo mfano hapo juu, sasa napenda kujua kuishi na mwanamke kwa akili ni kuishi nae vipiii maana hawaeleweki nini anataka na nini hataki kwa wakati gani na mood gani. Elimu Tafadhali ili nijue nikae vip na hawa viumbe kuepusha songombingo zisizo na msingi
Nipo kwenye uhusiano na wanawake watatu tu, na katika hao ni wawili ndio nimeona kama Mara nyingi maneno Yao yakinigusa moja kwa moja ama kushabihiana, mfano ni hivii.
Kwa nyakati tofauti ninaweza kuwapigia simu wasipokee au kuwatumia sms kwa Whatsapp wasijibu kwa wakati ila mda huo unaona wapo online, basi wakija kunitafuta au nikiona mda unaenda wako kimya mimi ninaweza kutxt hivi ‘Hivi ina maana call zangu na sms zangu huzioni au una maana gani kutokunijibu na ilihali upo online ‘. Marafiki ama hakika majibu Yao mengi inakua ni kunilaumu mimi nipo harsh na sipendi kujua kwa nini hawajajibu kwa wakati ila nalaumu tu, hivyo hupendelea kusema mimi ni mkorofi na natakiwa niwaulize in a polite way, jamani mtu yupo online unamtxt hajibu anajibu na kukutafuta morning baada ya Lisaa kweliiii na mimi nikipiga kimya wanalaumu nimebadilika. Nisiwachoshe nihitimishe
Nimetafakari hii kauli ya kuishi nao kwa akili naona bado napata mkanganyiko kulinganisha na huo huo mfano hapo juu, sasa napenda kujua kuishi na mwanamke kwa akili ni kuishi nae vipiii maana hawaeleweki nini anataka na nini hataki kwa wakati gani na mood gani. Elimu Tafadhali ili nijue nikae vip na hawa viumbe kuepusha songombingo zisizo na msingi