Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Huyo jamaa hapo anaedai kuwa chanjo ni western witchcraft ni nani?Halafu Museven anatembea na mashine gun!
Mnamsimanga sana,Huyo jamaa hapo anaedai kuwa chanjo ni western witchcraft ni nani?View attachment 1706166
Mzee wa nyunguHuyo jamaa hapo anaedai kuwa chanjo ni western witchcraft ni nani?View attachment 1706166
😄😄😄Mzee wa nyungu
Hivi inawezekana vipi Taifa lenye watu zaidi ya million hamsini anapatikana Rais tahira?Kwenye ishu ya Corona leo kawaambia wananchi wa huko kuwa waendelee kumtegemea Mungu!😄😄😄His mindset is village based
Messy presidentHivi inawezekana vipi Taifa lenye watu zaidi ya million hamsini anapatikana Rais tahira?Kwenye ishu ya Corona leo kawaambia wananchi wa huko kuwa waendelee kumtegemea Mungu!
Kwasababu huyo Rais mwenyewe anateuliwa na kundi dogo la watu.Hivi inawezekana vipi Taifa lenye watu zaidi ya million hamsini anapatikana Rais tahira?Kwenye ishu ya Corona leo kawaambia wananchi wa huko kuwa waendelee kumtegemea Mungu!😄😄😄
Chunga kauli zako.Hivi inawezekana vipi Taifa lenye watu zaidi ya million hamsini anapatikana Rais tahira?Kwenye ishu ya Corona leo kawaambia wananchi wa huko kuwa waendelee kumtegemea Mungu!😄😄😄
Unatafuta kutukanwa!Halafu mimi huwa sina tabia za kutukana watoto wa kike.Nilitaka nikutukane direct nikashindwa.Stay away from me.Mimi siyo mpumbavu mwenzako!Unaelewa kuwa Mungu huwa halipi maombi bali huwa analipa jitihada?Chunga kauli zako.