Hii kasi ya Marekani kujisogeza kwetu baada ya kifo cha Rais Magufuli inatia shaka

Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Kwa watakaopenda kukumbushwa: JPM alitwambia mara kadhaa "TUSIFIKIRI NA WALA KUJIDAGANYA KUWA ATI TUNAPENDWA SANA" na aliongezea "THERE IS NO FREE LUNCH "under the sky.
Marekani ni taifa la ki-NARCISSIST. Lina kicheko cha MAMBA kwa kila mahusiano na mataifa madogo hasa ya Afrika. Ni kiongozi aliyejaa ubinafsi tu ndie anayeweza kudhani kuwa kuna tija kwa mahusiano ya kimkakati na Marekani. Hata Baba wa taifa aliipa mtazamo wenye tahadhari kubwa sana Marekani.
Kilicho wazi ni kwamba; kujisogeza karibu sana na Marekani ni kujiua wewe mwenyewe taratibu na mwisho wa siku Marekani yenyewe inakupa kisogo.
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Wajisogeze mara ngapi?USA ina maofisa wake wa jeshi wanaofanya kazi kwenye kambi za JWTZ nchi nzima,na kwa vile USA ina ubalozi hapa bongo,basi kaa ukijua kuna watu kibao ndani ya Mihimili ya Serikali ambao wanafanya ujasusi kwa niaba ya USA,ama kwa kujua,au kutokujua.
USA ina faili la kila mwanasiasa hapa bongo.
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Maskini kufuatwa na mtu tajiri ni jambo jema - ni fursa kama ulikuwa huna taarifa. Siasa za mwendazake hatuzitaki tena - siasa za kupumbaza watu sasa basi.
 
Hao hawajawahi kutoa msaada Bali huwa wanatoa ndoano ambayo ikikunasa hujinasui wanakunyonya mpaka uombe pooo.
Hukuna bepari anaetoa hela na asijue atairudisha Kwa faida kiasi gani kwahiyo hiyo sio misaada ni ndoana yenye fedha itunase
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Alipewa hela ya covid mwaka jana akaila yeye na vibaka wenzake
 
Wewe ni mfano wa wasomi wajinga wanaodhani Marekani inawaonea wivu Tanzania.

Hapo ulipo hata hiyo PEDI uliyovaa imetoka kwa hao wazungu. Simu unayotumia kuwatukana imetengenezwa CHATO?

ACHENI MAWAZO YA MIAKA YA 60 DUNIA YA SASA TUNATEGEMEANA.
Kukusoma tu kunaonyesha jinsi gani ulivyo mtupu kichwani.

Niwapi uliposoma nikitukana.

Na ni sehemu ipi niliyoandika kuwa "dunia ya sasa" hatutegemeani?

Shule umekwenda kusoma, ukajua kusoma tu hizo tarakimu lakini kuelewa maana ya ulichosoma hukielewi?

Kiufupi ni kwamba, kuwa na watu wenye mawazo mgando kama yako si kosa, ila inapotokea watu wa aina yako ndio wawe viongozi wa nchi na kuifanya iwe ya kutumiwa tu na mataifa mengine bila ya kuwa na dira ya mwelekeo wake, hapo ndipo tunapopata hasara kubwa.

Watu kama wewe kaeni mbali kabisa na uongozi wa nchi hii, hatuhitaji tena kuwa vi-puppet vya nchi yoyote.

Hapo unapoishi wewe bila shaka ni kitegemezi kwa kila kitu toka kwa watu wengine, au sio? Tabia yako inaelezea kuwa uko hivyo.
 
Kukusoma tu kunaonyesha jinsi gani ulivyo mtupu kichwani.

Niwapi uliposoma nikitukana.

Na ni sehemu ipi niliyoandika kuwa "dunia ya sasa" hatutegemeani?

Shule umekwenda kusoma, ukajua kusoma tu hizo tarakimu lakini kuelewa maana ya ulichosoma hukielewi?

Kiufupi ni kwamba, kuwa na watu wenye mawazo mgando kama yako si kosa, ila inapotokea watu wa aina yako ndio wawe viongozi wa nchi na kuifanya iwe ya kutumiwa tu na mataifa mengine bila ya kuwa na dira ya mwelekeo wake, hapo ndipo tunapopata hasara kubwa.

Watu kama wewe kaeni mbali kabisa na uongozi wa nchi hii, hatuhitaji tena kuwa vi-puppet vya nchi yoyote.

Hapo unapoishi wewe bila shaka ni kitegemezi kwa kila kitu toka kwa watu wengine, au sio? Tabia yako inaelezea kuwa uko hivyo.
Jibu swali hiyo PEDI uliyovaa imetoka nchi gani?


Dunia ni kam kijiji hata huyo Magufuli ilibidi afe miaka 10 iliyopita ila hawa wazungu ndio waliomuwekea hiyo betri kwenye moyo wake.

Acheni ubaguzi wa kipumbavu. Hiyo simu unayotumia imetengenezwa CHATO?
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.

Huu sasa ni ujinga (ignorance). Mbona tuko na Marekani tangu awamu ya kwanza?

Huna habari ya misaada yote tunayopewa “toka kwa watu wa Marekani” hadi uhoji kwamba wameanza kujisogeza kwetu awamu hii? Jitahidi kusoma na kuuliza usivyojua.
 
Jibu swali hiyo PEDI uliyovaa imetoka nchi gani?


Dunia ni kam kijiji hata huyo Magufuli ilibidi afe miaka 10 iliyopita ila hawa wazungu ndio waliomuwekea hiyo betri kwenye moyo wake.

Acheni ubaguzi wa kipumbavu. Hiyo simu unayotumia imetengenezwa CHATO?
Wewe ni mpuuzi, na wala hata hujui unachoandika hapa ni nini.

Ni wapi nilipoandika kwamba Tanzania inajitenga na dunia? Hii elimu yako ya kukariri itakufikisha wapi?

Hutakiwi kukariri, hiyo elimu unayopata itumie kupanua upeo wa mawazo yako. Sasa hapa umebaki tu na "PEDI, PEDI" kama kasuku!

Halafu kesho na wewe utadai uwe kwenye ngazi ya uongozi wa nchi hii....Hopeless Kabisa!
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Mkuu Wamarekani ni mabeberu proper.Hawa jamaa wao hawanaga rafiki wa kweli,utakuwa rafiki yao tu kama wana-kunyonya au unakubaliana na ujinga wao.

Kwa sasa nia zao nchini kwetu ni mbili.Nia ya kwanza ni kutushawishi tukubaliane na utapeli wao wa C-19,na nia ya pili ni kutughilibu ili tukubali waifanye nchi yetu kuwa shamba la bibi.Hapa wote kama Watanzania hatuna budi kumuombea sana Rais wetu Mama Samia Suluhu,ili Mungu ampe hekima na busara katika kufanya maamuzi sahihi kwa niaba yetu ambayo yatakuwa ya manufaa kwa ustawi wa taifa letu.
 
Bibi,shangazi,wajomba,bAbu ma jamaa zako wengine walishuhudia maziko ya mwendazake huko kwenu kijijini kwa ajili ya kuwepo mradi waumeme wa vijini ambao Marekani ilichangia kwa kiasi kikubwa. Sio kila pumba' mnayoambiwa kwa maslahi ya mtu binafsi mnaiamini
Ninakubaliana na wewe kuhusu wao ndio kuwa wachaguzi wa wapi panapohitaji msaada.

Haya makosa yamefanyika miaka mingi ya hawa watu kuleta vimisaada vyao visivyolenga kutatua matatizo yetu, bali kuwanufaisha wao zaidi.
 
Bibi,shangazi,wajomba,bAbu ma jamaa zako wengine walishuhudia maziko ya mwendazake huko kwenu kijijini kwa ajili ya kuwepo mradi waumeme wa vijini ambao Marekani ilichangia kwa kiasi kikubwa. Sio kila pumba' mnayoambiwa kwa maslahi ya mtu binafsi mnaiamini
Ukitaka kujibishana nami lazima uwe na akili timamu, usiniletee upumbavu hapa.

Hao jamaa zangu uliwaona huko ulipokuwepo wewe?

Sasa fahamu kwamba kuletewa miasaada hiyo isiwe ndiyo chambo cha kutunyang'anya hata hicho tunachosaidiwa.

Misaada walete wakitaka, na tutashukuru, lakini wasipitie tena mlango wa nyuma kutunyonga, halafu watu wenye akili zilizolala kama wewe uje hapa kujionyesha mjuaji sana.
 
Chanjo za korona hazikuwepo au zilikuwa hazitoshi wakati wa Magufuli. Ila sasa hivi chanjo ni nyingi mpaka kuna za ziada ambazo Wamarekani wanapeleka nchi nyingine. Juzi tuu walipeleka misaada ya korona India ambako korona imeshamiri sasa hivi. Global order ya leo lazima ushirikiane na Marekani hakuna jinsi. Bila kushirikiana na Marekani au Marekani ikikuwekea vikwazo huwezi kutuma au kuingiza hela nchini na uchumi utaanguka. Sasa jiulize ni vingapi tunaagiza nje ya nchi kuanzia mafuta, madawa, vyakula, nguo, magari, mashine, spear parts na vingine vingi? Vingapi tunauza nje ya nchi?
 
Hiyo chuki yako haina afya kwa Taifa letu, mabeberu ndio akina nani?
Siasa ya ujamaa bado ipo Tanzania?

Tafakari sana kauli zako, mmetuharibia diplomasia ya nchi yetu kwa matusi uchwara yenu hayo.
 
Tanzania bila Magufuli inawezekana, Tanzania bila Marekani na wengine walioitwa na jiwe kuwa ni mabeberu haiwezekani,na maisha bila wao hayapo.

Kila kitu kilichotumiwa na Jiwe kuwaponda kuanzia kipaza sauti alichokuwa anakitumia kilitengenezwa na wao, vyombo vyote vilivyokuwa vinatumika kurusha maneno ya jiwe kuwaponda vimetengenezwa na wao.

Magari,ndege,barabara zinazotengenezwa, madawa na vifaa vyote vilivyotumika kunusuru uhai wa jiwe vimetengenezwa na wao, kasolo mwili na mdomo unaotumika kuwananga ndio umeumbwa na Mungu.
Wengine wanasema hata habari za huyo Mungu wamebuni tu wao hao unaowazungumzia, maana kuna watu hawawezi kuishi bila hao wazungu maisha yao yanategemea hao wazungu sasa hapo kweli Mungu ana nafasi gani tena?
 
Chanjo za korona hazikuwepo au zilikuwa hazitoshi wakati wa Magufuli. Ila sasa hivi chanjo ni nyingi mpaka kuna za ziada ambazo Wamarekani wanapeleka nchi nyingine. Juzi tuu walipeleka misaada ya korona India ambako korona imeshamiri sasa hivi. Global order ya leo lazima ushirikiane na Marekani hakuna jinsi. Bila kushirikiana na Marekani au Marekani ikikuwekea vikwazo huwezi kutuma au kuingiza hela nchini na uchumi utaanguka. Sasa jiulize ni vingapi tunaagiza nje ya nchi kuanzia mafuta, madawa, vyakula, nguo, magari, mashine, spear parts na vingine vingi? Vingapi tunauza nje ya nchi?
Hivi vikwazo mlengwa huwa ni nani?
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Nadhani wameona kwansasa at least kuna mtu pale Ikulu anaweza kufanya rational premises wakaelewana sio mtu mzima kila akikutana na different race yeye anasema mabeberu tu. Sasa mwanaume mzima unaogopa mabeberu?????
 
Back
Top Bottom