mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,335
- 1,183
Watanzania nawapenda sana na kejeli zenu, kama kweli unataka kusema kwa nini huitaki serikali yako irejeshe pesa walizopewa na EU kupambana na corona? EU wenyewe wamelishasema wanataka kujua mmezifanya nini pesa hizo? Rejesheni pesa za watu kwanza halafu ndio mje na jeuri za kimasikini!Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.
Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.
Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Rejesheni mamilioni haya!!!!
Tanzania should account for COVID funds and stop hiding behind the facade of sovereignty
Tanzania apparently doesn´t have a problem with Covid 19, because three days of prayer has made it go away. What the government does have is money from the international community to fight the virus - and money to give away at election rallies. It doesn´t add up and neither do the governments...
www.diis.dk