Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
Katika nchi ya paka, panya hatakiwi atawale, kutawala kwa panya ni dhihaka kwa paka na utawala wake.
Dawa yake ni ndogo sana, kutokata tamaa, paka ana lengo la kutisha na kutawala kibabe ili panya waogope kuhoji utawala wake.
Paka anataka "kuwaibia" panya mahindi yao, anakuwa mkali kutisha ili panya waogope aibe atakavyo na kwa uhuru. kwani nani hajui paka ni mwizi? aliuza viota vya kujenga jumuia paka wenzake kwa paka mwenzake 1?
Panya ili kumshinda paka anatakiwa aongeze mashambulizi dhidi ya paka.
Pole sana paka mkubwa, unaogopa sana panya wanaokuambia ukweli.
Dawa yake ni ndogo sana, kutokata tamaa, paka ana lengo la kutisha na kutawala kibabe ili panya waogope kuhoji utawala wake.
Paka anataka "kuwaibia" panya mahindi yao, anakuwa mkali kutisha ili panya waogope aibe atakavyo na kwa uhuru. kwani nani hajui paka ni mwizi? aliuza viota vya kujenga jumuia paka wenzake kwa paka mwenzake 1?
Panya ili kumshinda paka anatakiwa aongeze mashambulizi dhidi ya paka.
Pole sana paka mkubwa, unaogopa sana panya wanaokuambia ukweli.