Boko bado mgonjwa ila kidoti hana nafasi kwenye timu anayochezaBoko na kijana yule mwenye Kidoti mbona siwaoni
Shamte ni mpendwa wa moyo wa matola toka simba,lipuli na saivi alimrudisha nyumbaniMbona anampenda sana Haruna Shamte huyu kocha
Duh! Polisi hujaiona!? Kagera!?Ligi ya Tz n simba ,azam ,yanga na coastal na kwambali Kmc
Hao wameitwa ila hata benchi hawqtakaaa kama alivyofanyiwa aroni kalambo na Vincent Philipp kipnd cha afconDuh! Polisi hujaiona!? Kagera!?
Kwani Seleman Nado ni kiungo? Acha uzwazwa
Mifumo inabadilika. Si lazima kucheza na natural no.9 . Cheki Liverpool hawana mtu asili namba 9 wa kutegemewa na wanascore.Hapo nmezungumzia striker asilia. Idi Nado ni kiungo mshambuliaji km Mzamiru, ,milaji adamu,Mudathili Yahaya,Hasan Dilunga,Sure boy,Abdulazi Makame na Ayubu Lyanga. Jiulize ikitokea Chilunda anaumia nani atasimama mbele km striker wa mwisho? Angalia Azamu mechi ya juzi walivyoteseka kwa kukosa Natural striker au kinachowakumba Yanga kwa sasa. Huo ni mtazamo wangu lakn.Nazani kuna ulazima wa makocha kupitia tena uteuzi wao ili tusije tafta sababu ya kumlaumu mtu
Mbona anampenda sana Haruna Shamte huyu kocha
Miraji ni wingermiraji athuman, chilunda, ayoub lyanga huoni watatu Hawa sio viungo..