mwambie atumie dawa zangu hizi za tiba mbadala kisha unipe feedback..........
dawa za kuteremsha hedhi.
ikiwa hedhi imezuilika kwa kufikia umri wa kumaliza au ni kwasababu ya mimba, inafahamika lakini ikiwa si kwasababu mbili hizo basi hufanyiwa dawa na kuirudisha hedhi.
1. Kunywa chai ya mdalasini.
2. Mvuje ukinywewa pamoja na pilipilimanga huteremsha hedhi iliyo fungwa katika uzai au mapito yake.
3. Manemane ikipondwa na ukinywa siku tatu asubuhi kabla ya kula chakula
4. Kitunguu somu na mag/b][/url]
she must be sick, na vipi amekaa mpaka miaka mi3 bila utafuta tiba ya tatizo?!!
kuhusu tiba alifuatilia hizi za kisasa lkn hazikumsaidia na kwa vile kulikuwa hakuna side efect akaona poa
Mkuu zumbemkuu kama ana nyonyesha basi mpaka mtoto atakapo tembea ndipo anaweza kupata siku zake sio maradhi hayo nijuavyo mimi amepata bahati mke wako je amejifunguwa mtoto wa kike au wa kiume?wadau my wife wangu alijifungua mtoto mwezi wa pili mwaka huu, hadi asaiv hajaona siku zake, je hiyo ni hali ya kawaida au kuna tatizo? mimba hana. MziziMkavu
asante mkuu, ni mtoto wa kike. thanks, niliwahi kuku'PM kuhusu ngozi yake wonderful nywele zake zinabadilika na kuwa nyeusi thou kope bado hazijabadilika, na kusema kweli anapepesa macho japo sio sana, ngozi yake ule weupe wa sana unabadilika na kuwa wekundu. she is real beautfull.Mkuu zumbemkuu kama ana nyonyesha basi mpaka mtoto atakapo tembea ndipo anaweza kupata siku zake sio maradhi hayo nijuavyo mimi amepata bahati mke wako je amejifunguwa mtoto wa kike au wa kiume?
akitumia akipata hiyo Damu unieleze basi mkuu hata kuweka (like) unashindwa? ADKahsante nitamueleza aufanyie kazi mkuu