Flyovers kila sehemu korofi itapunguza.
Mimi ndio nimefika nyumbani muda huu kweli foleni ilikuwa hatari
Mimi ndio nimefika nyumbani muda huu kweli foleni ilikuwa hatari
Askari wamalizeje na mvua hii usiku huu?
Sisi wepesi sana kusahau.
Kukiwa na askari barabarani tunapiga kelele wasiwepo, wakikaa pembeni tunawahitaji.
Tatizo pia tunaendesha kama hatutumii akili,
unaona njia mbele haiendi ila kuliko umruhusu anaetoka kulia kuja kushoto apite unaona bora ubane asikatishe yani wote mkwame mfunge njia.